Ni dhaihiri kuwa madaktari sasa watakuwa wanamkumbuka sana Waziri Mkuu aliyaachia ngazi 2008 kutoka na majibu aliyowapa Pinda. Ingawa madaktari wengi kipindi kile watakuwa walifurahi Lowassa alivyosulubishwa na ile ripoti ya Richmond lakini sasa wanamkumbuka. Angekuwa Lowassa angechukua maamuzi mazito ya kumshauri rais asiongeze posho kwa wabunge peke yao bali maslahi ya kila mtanzania yazingatiwe ikiwa ni pamoja na kuwalipa vizuri watumishi wote wa umma. Bravo EL