masikini Watanzania wasio na hatia wakiwa wamefungwa pingu!
Lakini Polisi wajue kuwa katika vitu vibaya kabisa ni pale wananchi wanapopoteza imani na jeshi hilo. Angalia siraha, jeshi na zana alizokuwa nazo Ghadafi lakini ukosefu wa busara unafanya nchi isambaratike. Wenye akili hawatawalaumu waliompindua Ghadafi bali watamlaumu Ghadafi kwa kupelekea hali hiyo.
Polisi wetu jifunzeni kabla ya kuingizwa katika michezo ya kisiasa na watu ambao wana tamaa zao za miili pamoja na familoia zao wala sio tamaa ya kuliendeleza taifa!