watambue wana JF hapa

watambue wana JF hapa

zumbemkuu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
11,322
Reaction score
9,771
6168_112436458977_8066552_n.jpg
Enzi hizo, mwenye kitenge hapo kati sijui ni nani?
 
kabila gani hilo it cant be maasai maana hawajatobolewa maskio, labda wale wanotoa click sound
 
Kutoka kulia ni mkuu watu8 ,akifuatiwa na kijana mrefu na mtanashati BUJIBUJI,mwenye mdomo wazi ni boflo, anaefuata ni dadaetu lala 1,akifuatiwa na pretta.Mwenye kitenge ni madam B, akifuatiwa na paloma,mbele yake kuna mbuzi mzee,mzizimkavu, na dogo mmoja anaitwa godoro-la-comfy.Wakiwa katika picha ya pamoja baada ya semina ya siku mbili.
 
Last edited by a moderator:
ahahahahahhaa, gfsonwin na Baba V mie simo, mkija kung'olewa kucha na meno,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom