Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Goli la kwanza Mtoa pasi jinga kabisa he had a chance his partner kapombe mbali mno na half of our players walivuka nusu yetu, goli la pili ni jumuishi kimakosa pembeni na ndani ya sita marking ya opponents, la tatu ni jumuishi pia na bad luck kipa hakujua ana bekivwafupi na opponents warefu hivo kila set piece alioaswa alenga kucheza ndani ya sita si kwenye goal line.
Tumepigwa siku ambayo mpinzani hajaupiga mwingi bali katumia nafasi na akili kubwa ya mpira kuliko papara.
Hongera DRC ushindi laini kwao kuliko mechi zote zao za awali.
Tumeingia na kujiamini na kwa plan ya kushinda, kuwa tunaweza, bila heshima na kujua umuhimu wa draw kwetu na uwezekano wa kufuzu.
Wapi Etiene!!!!
Tumepigwa siku ambayo mpinzani hajaupiga mwingi bali katumia nafasi na akili kubwa ya mpira kuliko papara.
Hongera DRC ushindi laini kwao kuliko mechi zote zao za awali.
Tumeingia na kujiamini na kwa plan ya kushinda, kuwa tunaweza, bila heshima na kujua umuhimu wa draw kwetu na uwezekano wa kufuzu.
Wapi Etiene!!!!