Watambue Wachezaji wa Taifa Stars waliowazawadia Magoli mazuri Matatu Congo DR leo pale kwa Mkapa Temeke Dar es Salaam Tanzania

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Kabla ya yote nianze kwa Kusema kuwa Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba SC ila katka Uzi huu naweka Ushabiki wangu huo pembeni na nasema Ukweli mtupu ambao najua utawaumiza baadhi au hata wengi hapa

Goli la Kwanza

Aliyechomesha ni Kipa Aishi Manula

Maoni yangu ni kwamba kwa sasa apumzishwe na Wadake wengine kama Metacha Mnata kwa Taifa Stars na kule Simba SC awe anadaka Beno Kakolanya.

Goli la Pili

Aliyechomesha ni Beki Shomary Kapombe

Maoni yangu sasa ifike muda kuanzia Taifa Stars hadi Simba SC huyu Beki apumzishwe au aachwe na awe anaanza ama Israeli Mwenda au Kibwana Shomary.

Goli la Tatu

Waliochomesha ni Mabeki Dickson Job na Bakari Mwamnyeto

Maoni yangu ni kwamba ikiwwzekana Dickson Job awe anacheza namba za pembeni kwani Ufupi wake unatoa Faida Kubwa kwa Washambuliaji Warefu na Mahiri.

Beki Bakari Mwamnyeto afundishwe kutokupenda kutumia sana Nguvu bila Akili mara kwa mara kwani Mapungufu yake haya huwa yanamgharimu na Kuzigharimu pia Timu zake anazozichezea.

Tafadhali Maoni yangu yaheshimiwe!!
 
Kabla ya yote nianze kwa Kusema kuwa Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba SC ila katka Uzi huu naweka Ushabiki wangu huo pembeni na nasema Ukweli mtupu ambao najua utawaumiza baadhi au hata wengi hapa

Goli la Kwanza

Aliyechomesha ni Kipa Aishi Manula

Maoni yangu ni kwamba kwa sasa apumzishwe na Wadake wengine kama Metacha Mnata kwa Taifa Stars na kule Simba SC awe anadaka Beno Kakolanya.

Goli la Pili

Aliyechomesha ni Beki Shomary Kapombe

Maoni yangu sasa ifike muda kuanzia Taifa Stars hadi Simba SC huyu Beki apumzishwe au aachwe na awe anaanza ama Israeli Mwenda au Kibwana Shomary.

Goli la Tatu

Waliochomesha ni Mabeki Dickson Job na Bakari Mwamnyeto

Maoni yangu ni kwamba ikiwwzekana Dickson Job awe anacheza namba za pembeni kwani Ufupi wake unatoa Faida Kubwa kwa Washambuliaji Warefu na Mahiri.

Beki Bakari Mwamnyeto afundishwe kutokupenda kutumia sana Nguvu bila Akili mara kwa mara kwani Mapungufu yake haya huwa yanamgharimu na Kuzigharimu pia Timu zake anazozichezea.

Tafadhali Maoni yangu yaheshimiwe!!
Goli la kwanza kachomesha Dickson Job baada ya pasi yake aliyolenga kumpasia Kapombe kuwa intercepted na wachezaji wa Congo
 
Tanzania ndio kwaheri World Cup 2022 atakaye songa mbele kwenye hili kundi ataamuliwa Kinshasa siku ya jumapili kati ya Congo DR na Benin.

Atakayeshinda mechi hiyo ndio ataenda kwenye playoff na wakitoka sare Benin itafuzu kwenda playoff. Mechi ya Tanzania na Madagascar itakuwa ya kukamilisha ratiba tu na haitakuwa na maana yoyote.
 
Acha uongo goli la kwanza ni Dickson Job alipiga pasi ambayo haikumfikia kapombe na kuwahiwa na mchezaji wa Congo aliyekokota mpira na kutoa pasi kwa Mbokani aliyemuona mfungaji wa bao musuaku na kumpa pasi nzuri aliyetupia mpira kambani.
 
Kocha wa stars alizidiwa ubora na mkongwe hector cuper.

Kosa au umahiri wa kocha unaanzia namna ya kupanga line up , namna ya kujipanga , mabadiliko ya Kimfumo wa kiuchezaji nk
 
Beki kijana zaidi NBC premier league
IMG-20211111-WA0189.jpg
 
Kabla ya yote nianze kwa Kusema kuwa Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba SC ila katka Uzi huu naweka Ushabiki wangu huo pembeni na nasema Ukweli mtupu ambao najua utawaumiza baadhi au hata wengi hapa

Goli la Kwanza

Aliyechomesha ni Kipa Aishi Manula

Maoni yangu ni kwamba kwa sasa apumzishwe na Wadake wengine kama Metacha Mnata kwa Taifa Stars na kule Simba SC awe anadaka Beno Kakolanya.

Goli la Pili

Aliyechomesha ni Beki Shomary Kapombe

Maoni yangu sasa ifike muda kuanzia Taifa Stars hadi Simba SC huyu Beki apumzishwe au aachwe na awe anaanza ama Israeli Mwenda au Kibwana Shomary.

Goli la Tatu

Waliochomesha ni Mabeki Dickson Job na Bakari Mwamnyeto

Maoni yangu ni kwamba ikiwwzekana Dickson Job awe anacheza namba za pembeni kwani Ufupi wake unatoa Faida Kubwa kwa Washambuliaji Warefu na Mahiri.

Beki Bakari Mwamnyeto afundishwe kutokupenda kutumia sana Nguvu bila Akili mara kwa mara kwani Mapungufu yake haya huwa yanamgharimu na Kuzigharimu pia Timu zake anazozichezea.

Tafadhali Maoni yangu yaheshimiwe!!
Hujasema Ni kwa namna gani wamesababisha hayo magoli.Hapa naona umetumia ma ashakum kufikiri.
 
Acha uongo goli la kwanza ni Dickson Job alipiga pasi ambayo haikumfikia kapombe na kuwahiwa na mchezaji wa Congo aliyekokota mpira na kutoa pasi kwa Mbokani aliyemuona mfungaji wa bao musuaku na kumpa pasi nzuri aliyetupia mpira kambani.
Acha uongo ,pasi ya Dick Job ilikuwa murua kabisa,kosa Ni la Kapombe aliyesimama akisubiri mpira umfuate badala ya kuufuata yeye.
 
Back
Top Bottom