MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kabla ya yote nianze kwa Kusema kuwa Mimi ni Shabiki Kindakindaki wa Simba SC ila katka Uzi huu naweka Ushabiki wangu huo pembeni na nasema Ukweli mtupu ambao najua utawaumiza baadhi au hata wengi hapa
Goli la Kwanza
Aliyechomesha ni Kipa Aishi Manula
Maoni yangu ni kwamba kwa sasa apumzishwe na Wadake wengine kama Metacha Mnata kwa Taifa Stars na kule Simba SC awe anadaka Beno Kakolanya.
Goli la Pili
Aliyechomesha ni Beki Shomary Kapombe
Maoni yangu sasa ifike muda kuanzia Taifa Stars hadi Simba SC huyu Beki apumzishwe au aachwe na awe anaanza ama Israeli Mwenda au Kibwana Shomary.
Goli la Tatu
Waliochomesha ni Mabeki Dickson Job na Bakari Mwamnyeto
Maoni yangu ni kwamba ikiwwzekana Dickson Job awe anacheza namba za pembeni kwani Ufupi wake unatoa Faida Kubwa kwa Washambuliaji Warefu na Mahiri.
Beki Bakari Mwamnyeto afundishwe kutokupenda kutumia sana Nguvu bila Akili mara kwa mara kwani Mapungufu yake haya huwa yanamgharimu na Kuzigharimu pia Timu zake anazozichezea.
Tafadhali Maoni yangu yaheshimiwe!!
Goli la Kwanza
Aliyechomesha ni Kipa Aishi Manula
Maoni yangu ni kwamba kwa sasa apumzishwe na Wadake wengine kama Metacha Mnata kwa Taifa Stars na kule Simba SC awe anadaka Beno Kakolanya.
Goli la Pili
Aliyechomesha ni Beki Shomary Kapombe
Maoni yangu sasa ifike muda kuanzia Taifa Stars hadi Simba SC huyu Beki apumzishwe au aachwe na awe anaanza ama Israeli Mwenda au Kibwana Shomary.
Goli la Tatu
Waliochomesha ni Mabeki Dickson Job na Bakari Mwamnyeto
Maoni yangu ni kwamba ikiwwzekana Dickson Job awe anacheza namba za pembeni kwani Ufupi wake unatoa Faida Kubwa kwa Washambuliaji Warefu na Mahiri.
Beki Bakari Mwamnyeto afundishwe kutokupenda kutumia sana Nguvu bila Akili mara kwa mara kwani Mapungufu yake haya huwa yanamgharimu na Kuzigharimu pia Timu zake anazozichezea.
Tafadhali Maoni yangu yaheshimiwe!!