Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,358
- 9,230
Salute Wana JF..
Ama baada ya salamu twende kwenye mada moja Kwa moja Leo TFF imetoa baadhi ya majina na categories ambazo wachezaji watawania tuzo mbalimbali kutokana na viwango walivovionesha msimu huu wa 2022/23.
Hapa tutaangalia kila kategori na washindani kisha tutatoa maoni nani anastahili na kwanini.. Tafadhali Sana itapendeza kama tutaweka pembeni ushabiki na kuongelea uhalisia ..
Tuzo zimegawinyika Katika makundi matano
1. Tuzo ya kombe la shirikisho la Azam (FA)
2. Tuzo ya ligi kuu wanawake
3. Tuzo Ligi kuu NBC
4. Tuzo ya Utawala
5. Tuzo Ya ligi nyingine
Ila Uzi huu utaenda moja Kwa moja Katika ligi kuu NBC Pamoja na kombe la shirikisho la Azam FA.
KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM...
A. Kipa Bora
1. Benedict Haule - singida big stars
2. Djigue Diarra - Yanga
3. Addulai Idrisu - Azam
B. Mchezaji Bora
- bado wahajatangazwa
C. Mfungaji Bora
- ni Yule Atakaye funga Goli nyingi kuliko wote
1. Andrew simchimba Goli 7 ihefu
2. Clement Mzize Goli 6 Yanga
3. Abdul Suleiman Goli 3 Azam
TUZO ZA LIGI KUU NBC
A. Mchezaji Bora
1. Mzamiru Yassin - Simba
2. Fistoni Mayele - Yanga
3. Bruno Gomez - Singida BS
4. Djigue Diarra - Yanga
5. Saido Ntibazokiza - Geita/Simba
B. Kipa Bora
1. Djigue Diarra - Yanga
2. Aishi Manula - Simba
3. Benedict Haule - Singida BS
C. Beki Bora
1. Dickson Job - Yanga
2. Henock Inonga - Simba
3. Bakari Mwamnyeto - Yanga
4. Shomari Kapombe - Simba
5. Mohamed Hussein - Simba
D. Kiungo Bora
1. Bruno Gomez - Singida BS
2. mzamiru Yassin - Simba
3. Stephanie Aziz Ki - Yanga
4. Clatus Chota Chama - Simba
5. Saido Ntibazokiza - Geita/Simba
E. Kocha Bora
1. Nasreddine Nabi - Yanga
2. Hans Pluijm - Singida BS
3. Roberto Oliveira - Simba
F. Meneja Bora wa Uwanja
1. Omary Malule - Highland estate mbeya
2. Hassan Simba - Liti Singida
3. Amir Juma - Azam Complex Dar
G. Chipukizi Bora
1. Clement Mzize - Yanga
2. Edmund John - Geita Gold
3. Lameck Lawi - Coastal Union
H. Kikosi Bora
- kitatangazwa siku ya tuzo
-------
------
O. Goli Bora
- Bado hayajatangazwa
P. Mfungaji Bora
Mshindi ni Yule Atakaye funga Goli nyingi kuliko wote
1. Fistoni Mayele 16
2. Mosses Phiri 10
3. Saido Ntibazokiza 10
Karibuni wadau tutoe maoni Kwa kuzingatia weredi japo ushabiki hauepukiki lakini tusiupe nafasi...
Pia kama kuna mtu unaona alistahili Ila hakutajwa unaweza kuongeza. Kwa mfano Mimi upande wa kiungo ingepezwa pia kama ningeona jina la James Akaminko pia Khalid Aucho...[/b]
Ama baada ya salamu twende kwenye mada moja Kwa moja Leo TFF imetoa baadhi ya majina na categories ambazo wachezaji watawania tuzo mbalimbali kutokana na viwango walivovionesha msimu huu wa 2022/23.
Hapa tutaangalia kila kategori na washindani kisha tutatoa maoni nani anastahili na kwanini.. Tafadhali Sana itapendeza kama tutaweka pembeni ushabiki na kuongelea uhalisia ..
Tuzo zimegawinyika Katika makundi matano
1. Tuzo ya kombe la shirikisho la Azam (FA)
2. Tuzo ya ligi kuu wanawake
3. Tuzo Ligi kuu NBC
4. Tuzo ya Utawala
5. Tuzo Ya ligi nyingine
Ila Uzi huu utaenda moja Kwa moja Katika ligi kuu NBC Pamoja na kombe la shirikisho la Azam FA.
KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM...
A. Kipa Bora
1. Benedict Haule - singida big stars
2. Djigue Diarra - Yanga
3. Addulai Idrisu - Azam
B. Mchezaji Bora
- bado wahajatangazwa
C. Mfungaji Bora
- ni Yule Atakaye funga Goli nyingi kuliko wote
1. Andrew simchimba Goli 7 ihefu
2. Clement Mzize Goli 6 Yanga
3. Abdul Suleiman Goli 3 Azam
TUZO ZA LIGI KUU NBC
A. Mchezaji Bora
1. Mzamiru Yassin - Simba
2. Fistoni Mayele - Yanga
3. Bruno Gomez - Singida BS
4. Djigue Diarra - Yanga
5. Saido Ntibazokiza - Geita/Simba
B. Kipa Bora
1. Djigue Diarra - Yanga
2. Aishi Manula - Simba
3. Benedict Haule - Singida BS
C. Beki Bora
1. Dickson Job - Yanga
2. Henock Inonga - Simba
3. Bakari Mwamnyeto - Yanga
4. Shomari Kapombe - Simba
5. Mohamed Hussein - Simba
D. Kiungo Bora
1. Bruno Gomez - Singida BS
2. mzamiru Yassin - Simba
3. Stephanie Aziz Ki - Yanga
4. Clatus Chota Chama - Simba
5. Saido Ntibazokiza - Geita/Simba
E. Kocha Bora
1. Nasreddine Nabi - Yanga
2. Hans Pluijm - Singida BS
3. Roberto Oliveira - Simba
F. Meneja Bora wa Uwanja
1. Omary Malule - Highland estate mbeya
2. Hassan Simba - Liti Singida
3. Amir Juma - Azam Complex Dar
G. Chipukizi Bora
1. Clement Mzize - Yanga
2. Edmund John - Geita Gold
3. Lameck Lawi - Coastal Union
H. Kikosi Bora
- kitatangazwa siku ya tuzo
-------
------
O. Goli Bora
- Bado hayajatangazwa
P. Mfungaji Bora
Mshindi ni Yule Atakaye funga Goli nyingi kuliko wote
1. Fistoni Mayele 16
2. Mosses Phiri 10
3. Saido Ntibazokiza 10
Karibuni wadau tutoe maoni Kwa kuzingatia weredi japo ushabiki hauepukiki lakini tusiupe nafasi...
Pia kama kuna mtu unaona alistahili Ila hakutajwa unaweza kuongeza. Kwa mfano Mimi upande wa kiungo ingepezwa pia kama ningeona jina la James Akaminko pia Khalid Aucho...[/b]