Zamani Tanzania tulikuwa hatutangazi siku hizi na sisi tunatangaza hadi CNN na channel zingine pia!!!!Wa Kenya wanatuchezea ndevu zetu sana!!JK juzi amewaambia tujipange sote kutangaza utalii,yaani kama anawaomba vile,wenzetu wamejipanga muda mrefu sana,na wanajua wanawalenga wapi hao watalii.....sisi tunasubiria huruma ya watalii wenyewe waulize ndio waambiwe nenda Tanzania utaona hiki,na hiki na kupanda mlima Kilimanjaro
Gys we must wake up na kuachana na na biashara ya kupakwa sifa ambazo hazina tija. Tunapoongelea Serengeti ecosystem tunamaanisha nini! Mfano nani anamiliki Ngorongoro mahesabu yake yanakwenda wapi? In short ncaa ni mali ya ccm no quiz! Grumet Sasakwa ni mali ya nani! Huyu Jones kaingiaje hapo, then wakawafukuza wenyeji waliokuwa wanajipatia protini tangu Adam na Hawa kwa kuwaita porchers, ok waliondolewa je wamepelekwa wapi? Maisha wanayoishi ni chaguo lao au ni 'toka ondoka nenda uendako' Grumet sasa ni nchi nyingine kina Mawala associate ndo wanatumaliza Watz wenzao. Yapo mengi ya kuhoji tuamke na siyo kushabikia gnu wamerudi je unawakatiaga majani au unawachanjaga dawa?
Hivi Nyumbu wakienda Maasai Mara huwa wanaenda mapumzikoni au wanaenda kutafuta malisho mapya kutokana na ukame upande wa Serengeti?
ah kweli tuna hazina za ajabu sana.sasa me nilikuwa na wazo naona kama wanapata shida kuvuka huo mto kwanini tusiwajengee daraja kubwa kabisa ukubwa wake uwe kama daraja la kigamboni hivi??
ah kweli tuna hazina za ajabu sana.sasa me nilikuwa na wazo naona kama wanapata shida kuvuka huo mto kwanini tusiwajengee daraja kubwa kabisa ukubwa wake uwe kama daraja la kigamboni hivi??