Wakuu wa wilaya waliotembelea chuo Kikuu cha Dodoma wametoa ushauri kuwa mchakato wa kurudisha wanafunzi waliofukuzwa uzingatie uanachama wa wanafunzi.Mkuu wa Wilaya mmoja alisikika akisema "TENA IKIWEZEKANA MUWARUDISHE WANA CCM PEKEE MAANA HAO WA CHADEMA NI WAVURUGAJI WA AMAN".Mkuu wa wilaya moja hapa nchini aliongea
Source MWANANCHI LA LEO
Source MWANANCHI LA LEO