Jambo hili linanishangaza sana ninavyofahamu mimi tafiti nyingi za kisayansi zinafanywa baada ya tafiti husika kupata fund. Baada ya tafiti husika kukamilika ili mtu uweze kupata taarifa kutoka kwa kile kilichofanyika nyingi za ripoti inabidi hadi ununue online mfano mimi natafuta taarifa fulani kutoka katika machapisho ya nyuma yafananayo na hii ninayoitaji kufanya ila kila ripoti nionayo ina title ninayoitaji kuipitia eti inabidi niinunue hii kweli sawa waungwana?????????????/ nyingi gharama kuanzia $32-40