JONATHAN KAMWAVAH'S
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 184
- 24
jamani watanzania wenzangu tuliambiwa mvua zitanyesha mfurulizo siku nne mbona kimnya,au ndiyo dalili za mvua mawingu?
juzi mtabiri wa hali ya hewa channel ten anasema mvua imenyesha baharini baada ya mgandamizo wa hali ya hewa kuwa wa joto baharini na kusababisha mvua kunyeshwa kwa bahari, tehe tehe nikaona utabiri umekataa lkn si jambo la ajabu coz mara nyingi huwa naona cnn vile vimbunga vinabadili direction huku ikiacha wakazi wa eneo walilojiandaa kwa dhahma wakishangilia, tusiwabeze sana yanatokea sana kwa wenzetu