Embu wajuaji wa mambo haya waanze kudadavua wakitokea hapa kwenye income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013.
Imeibuka mijadala juu ya makato ya 18% ambayo ni vAt,kimsing hii ni kodi alipayo mlaji.
TRa wamesema yao na BOT Wamesema yao sasa nani mkweli hapa
Wale wataalamu wa Tax tunawaomba hapa,