Raaj
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 205
- 29
Habarini Ndugu wana jf, mimi nina solar watt 100 betri N70 dry cell ambazo nazitumia kwenye tv na kuwasha taa kama 5 tu tatizo linalofanya nijekuomba ushauri kwenu ni kwamba nyakati za usiku siifaidi kabisa hii tv maana umeme unawahi kuisha yaani kwa usiku maximum ni masaa 3 tu
Nb: natumia inverter kwa ajiri ya tv tu na kwenye kisambuzi natumia direct kutoka kwenye betri vivo hivo kwenye bulb
Naombeni ushauri wenu je hapo tatizo ni nini?
Nb: natumia inverter kwa ajiri ya tv tu na kwenye kisambuzi natumia direct kutoka kwenye betri vivo hivo kwenye bulb
Naombeni ushauri wenu je hapo tatizo ni nini?
za minara zipoje na Kuna nini cha ziada?