Wataalamu wa ujenzi: Shimo la choo linajaa maji

Wataalamu wa ujenzi: Shimo la choo linajaa maji

kuna Mzee moja yeye alikuwa hivyo kuja sanuka Kumbe maji yanatoka chini alichimba shimo lingine lile alivuta maji yote akaliacha lijae akakakodi shamba sahivi anakula Kuku kwa mrija tu
 
kwa maelezo yako mpaka sasa inaonekana kwa haraka haraka hayo ni maji ya mvua. subiri jua liwake vizuri hii januari mpaka february mwishoni halafu utapata wasaa wa kufanya maamuzi ya maana yatakayokuwa na faida kwa miaka mingi ijayo. vinginevyo unaweza fanya maamuzi ya haraka haraka halafu badala ya kutatua tatizo ukaongeza tatizo.
 
Habari wataalam, mwenye ujuzi na hii issue na shimo la choo limejaa nusu(maji) ndani ya wiki 2.

Inaoneka maji yanapanda chini na pia hayanyonywi chini.

Mwenye kujua cha kufanya tafadhali.
Muulize Trump
 
Pm ya nn mkuu kwani kuna tatizo gani hapa.
Kuna wajanja sikuizi wanatafuta namba za watu then wanatumia kwa utaperi mkuu,,ila sio namba ya kila mtu, Bali ya wale wenye ahueni ya life, wanaweza wakaifanya wanavyoweza namba yako,,inakuwa haipatikani,,then wanamtumia meseji mtu wako wa karibu kupitia number yako iyo Iyo, , kuwa umepata tatizo unaitaji hela na up.o. sehemu mbaya hasikupigie, ni habari ndefu, ,
 
Nakushauri kama hilo tatizo limetokea kipindi hiki chamvua usihangaikee..
Hayo maji yatanywea tuu chini..
Inaonyesha hilo eneo lako lina chemchem..au ni swap area..tulia tuu wakati wa kiangaz litanywwea..

Sometimes do nothing is also a solution..
 
Nakushauri kama hilo tatizo limetokea kipindi hiki chamvua usihangaikee..
Hayo maji yatanywea tuu chini..
Inaonyesha hilo eneo lako lina chemchem..au ni swap area..tulia tuu wakati wa kiangaz litanywwea..

Sometimes do nothing is also a solution..
Kweli mkuu yamepungua zaidi ya futi 2 Asante kwa ushauri mzuri
 
Tengeneza soak away mpya isiyo ruhusa maji kutoka nje kuingia ndani,baada ya hapo tumia mfumo wa kunyonya maji taka kwa zile bowzer za maji taka.
Lakini pia utenganishe mfumo wa maji ya bafuni na yale ya chooni.
Hata hivyo angalia hali hii kama itaendelea kipindi cha kiangazi ndipo ufanye maamuzi sahihi.
 
mkuu kama huyo uliempa namba hajakutafuta niambie nikuelekeze Cha kufanya
 
Back
Top Bottom