Wataalamu wa ujenzi: Shimo la choo linajaa maji

Wataalamu wa ujenzi: Shimo la choo linajaa maji

ila kwa haraka haraka hilo shimo linaonekana kama dogo sana. Pia kama fundi hakusakafia chini na aliweka matundu japo unasema madogo sana (ni kawaida yanakuwa madogo sana ili kuta zisivunjikie ndani) basi chunguza vizuri inawezekana jirani yako naye kachimba shimo kama la kwako karibu na lako na mwelekeo wa maji yake ni kwako. hivyo basi ukigundua kama shimo lake kama lipo karibu na la kwako kazi ipo na sio ndogo.
 
Chini hakusakafia matundu ya pembeni aliweka ila naona kama machache pia
Pole kaka Mie nipo jirani kabisa na wewe mie pia nina tatizo kama lako ila tofauti ni kuwa Mie mvua ikinyesha ndio maji yanajaa ila kiangazi yanashuka yote ni asili ya maeneo hayo ila kwa tatizo kama lako kunajirani yangu yeye baada ya kujua mazingira yale yeye shimo lake alijenga na mawe yale ya mwamba wa bahari mpk juu ndio akafunika na zege yale yanasaidia kunyonya maji na kwake maji hayaingii hata kidogo kama uwezo ungekuwepo ningekushauri ulifukie hilo halafu uanze upya na mawe
 
Pole kaka Mie nipo jirani kabisa na wewe mie pia nina tatizo kama lako ila tofauti ni kuwa Mie mvua ikinyesha ndio maji yanajaa ila kiangazi yanashuka yote ni asili ya maeneo hayo ila kwa tatizo kama lako kunajirani yangu yeye baada ya kujua mazingira yale yeye shimo lake alijenga na mawe yale ya mwamba wa bahari mpk juu ndio akafunika na zege yale yanasaidia kunyonya maji na kwake maji hayaingii hata kidogo kama uwezo ungekuwepo ningekushauri ulifukie hilo halafu uanze upya na mawe
Mkuu maji yajaa kwa njia gani kwako wakati wa mvua?
 
ila kwa haraka haraka hilo shimo linaonekana kama dogo sana. Pia kama fundi hakusakafia chini na aliweka matundu japo unasema madogo sana (ni kawaida yanakuwa madogo sana ili kuta zisivunjikie ndani) basi chunguza vizuri inawezekana jirani yako naye kachimba shimo kama la kwako karibu na lako na mwelekeo wa maji yake ni kwako. hivyo basi ukigundua kama shimo lake kama lipo karibu na la kwako kazi ipo na sio ndogo.
Liko mbali japo ni ukuta mmoja ila nikama mita 20 hv
 
hapa boss utahangaika sana, kuna system najaribu kuiattach inakataa, ni inbox namba yako kama una Whatsap nikupe
Acha Roho Ya Uwongo hiyo...
Wewe Sema wazi Hapa hapa Na wengine Waelimike...
Hata Kama Unafanya Biashara Wateja Wapo Hapa Hapa,mini Kifanyike Kama Shimo Linajaa Haraka?
 
Ni check mkuu 0715812160
Mkuu Samahani Wewe Una Tatizo kama Langu,ila Kuwa Makini sana sana...kuna wezi Pia humu,MTU Anakuambia yeye Fundi Mtafute Inbox sijui,Wewe Umeshashuhudia Mafundi wengi humu Hujitangaza Vema Kabisa Kwa uwazi,
Huyo Jamaa Umempa Namba mnafanya Siri, Kesho na Keshokutwa Ukija Kuibiwa Chochote si Kazima awe yeye,Hujui Location yake Na mpo wawili tuu, Mafundi Hawajifichi Mkuu ili Na wengine Wampate,wamlipe afanye kazi,yeye Anakuficha Muwe wawili Tuu...
In Angalizo tuu Mkuu!
 
Angalia pia uwezekano wa maji ya mvua kuingia ndani.
Ni kweli nilifanya utafiti mvua za juzi ila sikuona dalili yeyote ya kuingiza maji, nimepima leo nataka kila baada ya siku mbili nipime nione speed yake ya kujaa.
Mimi lakwangu nalijenga upya baada ya kugundua mapema kuwa maji ya mvua yanaingia ndani japo siyo kwa wingi.
 
Mkuu maji yajaa kwa njia gani kwako wakati wa mvua?
Mvua inaponyesha udongo hufyonza maji mengi, na hii inategemea na tabia ya udongo, Udongo wa Goba hadi eneo la Mbezi yote ni Mfinyanzi kwa kiasi kikubwa katika maeneo haya, tabia ya huu udongo huwa unafyonza maji kwa kiasi kikubwa na huwa hauyaachi kwa muda mrefu kama ilivyo kwa udongo wa kichanga ambao huwa tifutifu,
Ushauri wangu ni kama huyo bwana aliyesema hapo juu, mafundi wangejenga kwa kutumia mawe, lakini pia usihofu sana kuna uwezekano wa hayo maji yakawa yanatokana na Mvua zilizonyesha hapo December, Jua likipiga yatapungua tu. Japo ni muhimu kupata wataalamu wafike eneo husika
 
Yawezekana hayo ni maji yatokanayo na mvua, yanatembea chini Kwa chini kutokea upande wa sehemu iliyoinuka.
 
Back
Top Bottom