- Thread starter
- #21
Lol, umenikumbusha mbali, kuna mtu namdai mwaka wa tatu huu, na kila siku anazushia jambo! Kwa sasa nimekataa tamaa nimeamua kumuacha na kusamehe deni! Binadamu wengine sijui tumeumbwaje umbwaje?!
pole dah uzuri wake siku nyingine akiwa na shida hawezi tena kuja kwako kwa aibu,