KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
Heshima kwenu wakuu,natumai mko poa
Niko hapa kuwaomba msaada wa maelekezo wataalamu na wajuzi wa masuala ya ipad za aple.Iko hivi nimeletewa ipad mpya ya Aple sasa kila nikitaka kuinstall apllication kutoka aple store inaniletea ku-sign up kwa ajili ya kuanza kudownload na kuinstall apllcation,ninaanza kujaza aple id kuna sehemu nafika inaniletea nijaze namba ya simu nikiingiza namba ya simu inakataa inasema nijaze namba zisizopungua tarakimu 20 sasa nikifika hapo nakwama kuendelea,sasa naombeni msaada wa jinsi gani nitakavyoweza kuinstall app kwenye hii ipad yangu.
Niko hapa kuwaomba msaada wa maelekezo wataalamu na wajuzi wa masuala ya ipad za aple.Iko hivi nimeletewa ipad mpya ya Aple sasa kila nikitaka kuinstall apllication kutoka aple store inaniletea ku-sign up kwa ajili ya kuanza kudownload na kuinstall apllcation,ninaanza kujaza aple id kuna sehemu nafika inaniletea nijaze namba ya simu nikiingiza namba ya simu inakataa inasema nijaze namba zisizopungua tarakimu 20 sasa nikifika hapo nakwama kuendelea,sasa naombeni msaada wa jinsi gani nitakavyoweza kuinstall app kwenye hii ipad yangu.