Mzee wa kazi ngumu
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 148
- 469
Hao ni sampuli ya watu wanaovunja kioo cha gari wakati ufunguo wa mlango umo mfukoni.Unaanzaje kugawanya 6kwa2 wakati hujamalizana na mabano? Kujumlisha 1na2 zilizopo kwenye mabano na zikabaki ndani ya mabano unakuwa umefungua mabano yapi sasa?
Sababu?Kila njia ipo sahihi
Kwangu jibu ni 9
Mkuu, na wewe pia ni muongo squared.Huyu nae muongo ingawa mzungu😆, lazima umalizane na mabano kwanza 6÷2(2+1) = 6÷2(3) = 6÷6=2. Kwa vyovyote vile lazima umalizane na mabano kwanza nyingine zote mbwembwe. Ndo maana ya BODMAS/MAGAZIJUTO(MABANO,GAWANYA,ZIDISHA,JUMLISHA,TOA).Tecno haiwezi kujua hesabu kuzidi Casio.
Mkuu,Huyu nae muongo ingawa mzungu😆, lazima umalizane na mabano kwanza 6÷2(2+1) = 6÷2(3) = 6÷6=2. Kwa vyovyote vile lazima umalizane na mabano kwanza nyingine zote mbwembwe. Ndo maana ya BODMAS/MAGAZIJUTO(MABANO,GAWANYA,ZIDISHA,JUMLISHA,TOA).Tecno haiwezi kujua hesabu kuzidi Casio.
Hahaha kweli... Nimejichanganya mwishoni ngo ni edit 😆Mkuu,
Umeenda vema ila hapo bold naona ukaingia chaka tena.
Casio ndio yupo sawa..Casio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
Hakuna tofauti kati ya kumultiply kwanza namba za ndani kwa 2 halafu uzjjumlishe au ujumlishe kwanza ndo umultiply na 2.Huo ugonjwa wake uko wapi..ww ndo hujui i think..alichosema ni sahihi...hyo namba iliyopo krb na 2 outside bracket inamaana kuna alama ya kuzidisha ili kuifungua lazima uizidishe na hyo mbili ya ndani kivyake na ile moja kivyake...u multiply both numbers by 2...then una add...
Jibu utapata hyo hyo 1
Yess kama kwny mabano ni kujumlisha hakuna effect kwny jibu ukiplus then uka multiply...Hakuna tofauti kati ya kumultiply kwanza namba za ndani kwa 2 halafu uzjjumlishe au ujumlishe kwanza ndo umultiply na 2.
Hio ni law ya algebra inaitwa distributive property.
And yes jibu ni 1
Mwenyewe ushasema magazijuto alafu unamtukana casio tena.Casio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
CASIO yupo sahihi jibu ni 1
Lazima kwanza uanze na order of operations ambayo ni PEMDAS.
Kwahiyo, inabidi usimplify namba zilizopo kwenye mabano.
2 + 1 = 3
Halafu utafuta kuzidisha
2 ×3 = 6
Halafu unamalizia na kugawanya
6 ÷ 6 = 1
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Unasema lina utata; ila hujasema utata huo ni upi?
Haujui hesabu kaa kimya.hesabu ya wapi hiyo, jibu ni 9
japo wachangiaji wote huko juu tumejikita kwenye kutafuta jibu sahihi. Ila Nafikiri Lengo la mtoa mada ni kutaka kujua shida ya izo devices ni nini mpaka zitoe majibu tofauti ya kihesabu kwa swali moja.
Hesabu inafuata kanuni na hapa tunafuata the standard order of operations aka PEMDAS kwahiyo parentheses must be resolved first then multiplication halafu division.japo wachangiaji wote huko juu tumejikita kwenye kutafuta jibu sahihi. Ila Nafikiri Lengo la mtoa mada ni kutaka kujua shida ya izo devices ni nini mpaka zitoe majibu tofauti ya kihesabu kwa swali moja.
Mtoa mada nachokiona kwenye izo devices mbili kuna utofauti wa "programming language" za kihesabu ziliotumika kwenye izo devices, ndio maana zinatoa majibu tofauti kwa swali moja.
Iyo Simu na calculator yako inaonekana zimetumia mathematical programming language zenye utofauti kifogo. Shida ndipo hapo.
Tukirudi kwenye utofauti sa majibu, Kwa uzoefu wangu wa kihesabu nakubaliana na jibu la 1.
Bodmas, jibu ni 1Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.
Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.
Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.
Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.
Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Yani unaanza kugawanya kabla hujamaliza na mabano?Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 3(3)
3*3=9
View: https://youtu.be/URcUvFIUIhQ?si=U_jnyOsSKlbTAsPy