Wataalamu wa Computer

Wataalamu wa Computer

Nadhani unatofautisha bei za laptop kkoo na za kuagiza
Kwa hiyo Kwa bei za kkoo Bado bei nzuri

Ila kama ataamuua kuagiza mwenyewe atapata nzuri zaidi ya hiyo
Labda tumuulize ananunua KKOO ama amemuagiza mtu nje
Au ananunua Kwa mtu hapahaoa kama SECOND HAND kutoka Kwa ndugu jamaa na marafiki
Hapana mkuu ni zanzibar nachukulia zanzibar
 
Nenda sehemu ya ku search hapo kweye toolbar kisha andika haya maneno ndani ya mabano (DXDIAG) kisha search itakuletea software yenye jina hilo ifungue halafu chagua option imeandikwa ( render ) au video 2 kisha piga picha halafu utume hapa
Kama hivi mtaalam
20240124_115613.jpg
20240124_115603.jpg
20240124_115542.jpg
20240124_115505.jpg
 
Nadhani itakuwa latitude 7420 ya mwaka 2021 (sina uhakika) ambayo Amazon kwasasa wanaweza kuwa wanaiuza $500 hadi $600 kwa used na 700 hadi 750 kwa mpya.

-Kama battery bado iko vizuri
-Bado inao Muonekano mzuri
-Umeitest hardware zake zinafanya kazi vizuri

-Inakidhi Mahitaji yako ya sasa na ya badae angalau miaka miwili ijayo

Nashauri uinunue kati ya 850,000 hadi 1,000,000
Yeah ni latitude 7420 mkuu nacheck vipi hapo hayo mambo mengine maana nishatuma specifications za DXDIAG tayari hzo nyingine kuna sehemu tofauti na hii ya kuangalia.
 
Mkuu wewe jirisk tu, mimi nilinunu thinkpad x260 ikiwa ni generation 6 core i5. RAM 8 na SSD ya 256 kwa lak 3 tu na mpaka sasa inapiga kazi fresh, chaji masaa 8.
 
Mkuu wewe jirisk tu, mimi nilinunu thinkpad x260 ikiwa ni generation 6 core i5. RAM 8 na SSD ya 256 kwa lak 3 tu na mpaka sasa inapiga kazi fresh, chaji masaa 8.
Hii inakaa chaji haina shida
 
Back
Top Bottom