Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,480
Hili jukwa ndio kwanza napandisha uzi humu,
Naomba kuuliza hivi nawezaje kupata code namba inayoweza kunisaidia kupata menu katika simu za kawaida je inatengezwa au unaenda kuomba kwa makampuni ya simu au hutolewa na TCRA ?
Naomba kuuliza hivi nawezaje kupata code namba inayoweza kunisaidia kupata menu katika simu za kawaida je inatengezwa au unaenda kuomba kwa makampuni ya simu au hutolewa na TCRA ?