Wataalam/wajuzi wa mambo yetu yalee naomba mnisaidie hili jambo,

kiboksi manyoya

JF-Expert Member
Nov 16, 2016
377
311
Salaam, mm ni kijana ambaye niko ktk mchakato wa kuaga ukapera na kujiunga na kundi la wanandoa, nina wachumba wawili ambao nahitaji kumpitisha mmoja kuwa mama watoto, ila kuna jambo naomba ushauri wenu.

Mchumba wa kwanza ni mtaratibu, mtulivu, mvumilivu na mwepesi wa kuomba msamaha pale anapokosea jla tatizo lake kwenye 6*6ni mchovu sana yaani hachangamshi jukwaa.

Huyu mwingine ni mtaratibu, sio mtulivu ni kiguu na njia, sio mvumilivu pia anapokosea kuomba msamaha ni nadra sana ila anashambulia jukwaa balaa, hata kama huna apetaiti itakuja tu, naomba ushauri wenu yupi ni wife material?
 
Mapenzi ni kitandani lakini maisha ya ndoa ni zaidi ya kitandani,mwanamke ambae anasifa nzuri kimaisha na mshamba katika anasa anafaa kwa maisha ya ndoa. Ushauri wangu,mapenzi ni hisia na kila mmoja na mtazamo wake, but oa asiye mapepe na huyo mwingine mwache akakate mbele kwa mbele
 
Mapenzi ni kitandani lakini maisha ya ndoa ni zaidi ya kitandani,mwanamke ambae anasifa nzuri kimaisha na mshamba katika anasa anafaa kwa maisha ya ndoa. Ushauri wangu,mapenzi ni hisia na kila mmoja na mtazamo wake, but oa asiye mapepe na huyo mwingine mwache akakate mbele kwa mbele
Nashkuru kwa ushauri wako mkuu
 
Salaam, mm ni kijana ambaye niko ktk mchakato wa kuaga ukapera na kujiunga na kundi la wanandoa, nina wachumba wawili ambao nahitaji kumpitisha mmoja kuwa mama watoto, ila kuna jambo naomba ushauri wenu.

Mchumba wa kwanza ni mtaratibu, mtulivu, mvumilivu na mwepesi wa kuomba msamaha pale anapokosea jla tatizo lake kwenye 6*6ni mchovu sana yaani hachangamshi jukwaa.

Huyu mwingine ni mtaratibu, sio mtulivu ni kiguu na njia, sio mvumilivu pia anapokosea kuomba msamaha ni nadra sana ila anashambulia jukwaa balaa, hata kama huna apetaiti itakuja tu, naomba ushauri wenu yupi ni wife material?
Kwani wewe unampenda yupi ? Maana huwezi kuwapenda wote kwa mpigo.
 
Back
Top Bottom