skate-board
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 489
- 575
Habari wajenzi, ninataka kufahamu gharama za kujenga nyumba kama hii apa kuanzia msingi hadi kupaua tu inaweza kugharimu kiasi gani?
Mazingira niliyopo kwa boma msingi utakuwa wa mawe na tofali za kuchoma,tofali zitajengewa kwa cement, bati ziwe za migongo midogo.
Mazingira niliyopo kwa boma msingi utakuwa wa mawe na tofali za kuchoma,tofali zitajengewa kwa cement, bati ziwe za migongo midogo.