Laptop yangu inanisumbua kidogo na nimeshindwa kupata suluhisho mpaka sasa naombeni msaada wenu Wataalamu wa Technology, Gadgets & Science (kama nitakvyoeleza hapo chini na kauambatanisha picha).
Mimi sio mtaalam sana kwa program za COMPUTER ila jana nilichomeka flash ili niweze kuhamisha baadhi ya nyaraka toka kwenye Laptop lakini ikagoma kusoma, nilipoilazimisha sana nikajikuta nimebofya sehemu bila kutarajia matokeo yake baadhi ya FILE, DOCUMENT na PROGRAM zikabadilika toka hali yake ya kwenda MS OFFICE WORD 2007 (tazama picha) sasa sijui ile flash ilikuwa na virus am laa.
View attachment 288463
Kila nikiwasha LAPTOP na kufungua file ama program husika linajifungua na namna ya Ms Office Word 2007 na sioni chochote toka kwenye file husika tofauti na zamani.
View attachment 288458
Wataalam naombeni msaada wenu katika tatizo hili ili laptop iwe inafunguka kama zamani tofauti na inavyofanya sasa.
View attachment 288464
Natanguliza shukrani.
Kwa mfano nikibofya kwenye Google Chrome ama Mozilla Firefoxy inafunguka kwa jinsi hii.
View attachment 288466
1.Nenda kweny Start Menu
2.Type regedit in search box
3. Navigate to HKEY_CURRENT_USER\Software
\Microsoft\Windows\CurrentVersion\Explorer
\FileExts\
4. Look for .lnk extension
5. Delete .lnk key or delete the userchioce key
6.Your done hapo Reboot mashine yako tu.
Mi nilichoelewa hapo umeiweka ms word kama default program ndio maana hata ukifungua mozilla inafungukia kwenye ms word, na hizo icons hapo kwenye desktop naona umekopi mafile kama shortcut ndio maana hayawezi kufunguka, sijui kama nimeelewa sivyo, maana kabla ya kupata soln ni muhimu kuelewa tatizo
download hii kitu then run http://download.microsoft.com/downl...E4A-96B6-86C04B790B7B/MicrosoftFixit50194.msi
Mkuu!
Nimefanya hatua ya 1 na ya 2 ikatokea vile vile kama nilivyoeleza awali, sikona mahalapakuendelezea hatua ya 3,4,5na ya 6. Naomba niwekee ama nifafanulie vizuri namna ya kufanya.
View attachment 288556