Wataalam wa masuala ya utumishi na utawala soma hapa

Nguva Jike

JF-Expert Member
Jan 22, 2018
853
1,005
Habari za jioni.

Kuna suala linanitatiza hapa kazini. Jambo lipo hivi.

Mtumishi X alihamia kutoka wilaya A kwenda wilaya B kwa ridhaa yake mwenyewe.Mtumishi huyo X kutokana na mabadiliko ya kimipaka akajikuta amerudishwa wilaya A sehemu ambayo alihama.

Je, hii imekaaje kiutawala na masuala ya utumishi naomba nipanguseni matongotongo.
 
Kama nimekuelewa vizuri huyu mtumishi tuseme daktari alikuwa labda wilaya ya ubungo akahamia Kinondoni. Wilaya ya Kinondoni ilipogawanywa hospitali anayofanyia ikaangukia upande wa Ubungo hivyo automatically akajikuta karudi Ubungo baada ya mgawanyo wa mipaka.
Ndio hivyo?
Habari za jioni.

Kuna suala linanitatiza hapa kazini. Jambo lipo hivi.

Mtumishi X alihamia kutoka wilaya A kwenda wilaya B kwa ridhaa yake mwenyewe.Mtumishi huyo X kutokana na mabadiliko ya kimipaka akajikuta amerudishwa wilaya A sehemu ambayo alihama.

Je, hii imekaaje kiutawala na masuala ya utumishi naomba nipanguseni matongotongo.
 
Mtumishi huhama katika kituo chake cha kazi cha awali kwa sababu tofauti tofauti,kuna wengine hutaka changamoto mpya za kiutendaji,kuna wengine hutaka kubadili mazingira ya kijografia,sababu ni nyingi.Ila kama Ali hama kwa kutaka kubadili mazingira ya kazi yani kiutendaji anaweza hama tena maana kama hilo eneo limerudi katika utawala wa awali hatakuwa aja solve tatizo lake.
 
Kama sababu zake za kuhama ilikuwa kuwa karibu na eneo fulani,basi hata kama hicho kituo chake kipya kimepelekwa katika Utawala wa awali yeye kakwe utakuwa fresh tu.
 
Back
Top Bottom