Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Huruhusiwi kutumia namba isiyowekwa,tumia namba ulizowekewa tu!Chukua 9+8+13 =30, kweli vyeti fake ni jipu
Huruhusiwi kutumia namba isiyowekwa,tumia namba ulizowekewa tu!Chukua 9+8+13 =30, kweli vyeti fake ni jipu
Msaada kwa wanaojua Mathematics
N:B mi nimeumiza kichwa nimeshindwa
Nami nilifanya hvy hvy nimeshangaa watu wanahangaika kujaza vyoteHili ni swli mboga sana. Haya ni baadhi ya maswali ya nchi za Asia ambazo hupendelea "logical puzzles" kwenye hesabu zao. Jibu ni
15 na 15. Swali halijasema fill ALL the boxes;