Wataalam msaada wa haraka unahitajika

Wataalam msaada wa haraka unahitajika

Papi Chulo

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
6,260
Reaction score
7,397
Natumia tecno camon CX air,ni simu nzuri tu ila ina changamoto katika charge,inakaa na chaji vizuri tu ila sasa kwenye kuchaji ndo kimbembe unaweza ukaiweka chaji saa 1 asubuhi ukija saa 5 kuangalia,unakuta imeingia 15% tu, ukitaka ijae full labda masaa 10 + lakini napo inaweza isijae unaweza kukuta labda 70%.

Tatizo ni nini, simu au charger, nisaidieni niweze ku-fix.
 
Mkuu hapo lazima ukubari.
Hata ukinunua fast charger kama sim hazisupport bado hujatatua tatizo, we vumilia tu mkuu.
 
Hapo inaweza kuwa ni charging adapter au cable ndio ina matatzo. Jaribu kubalisha hvyo viwili kwanza. Nunua zile charger za Oraimo (hyo simu ina support 10W tu zaidi ya hapo ni kupoteza hela). Hakikisha ni oraimo OG sio zile feki. Zinakuja na adapter + usb cable. Kma hapo napo bado ina sumbua basi ujue kuna shida kwenye charging system
 
Back
Top Bottom