Wataalam fanyeni "desalination" maji ya bahari yatumike siyo kung'ang'ania maji ya mito

Unavyofanya biashara unategemea kupata faida,Dawasa inatoa huduma kwa jamii pia ipate faida ya kujiendesha, desalination process ni very expensive.

Utakuwa unatumia gharama kubwa halafu faida hupati, labda wajenge reservoirs kubwa kwa ajili ya kuhifadhi maji itasaidia kipindi cha dry season.
Halafu watanzania, hasa wenye uwezo wa kifedha ni watu wa ajabu kweli. Yaani kuchimba kisima kirefu kwa mashine kwa Dar ni kinawezekana kabisa na hata kuwauzia majirani lakini wao wameng'ang'na na DAWASA tuu. Kijijini kwetu kuna jamaa mmoja amechimba maji na kujenga matenki halafu amewasambazia watu wengi tuu tena kwa bei ya chini kuliko ya serikali. Ila kwa roho mbaya za baadhi ya viongozi wetu wameanza kumpiga vita huyo jamaa na kumuwekea mizengwe.
 
Mkuu yaani tushindwe kujenga matenki makubwa ya kuhifadhi maji yanayotiririka bure mto Ruvu, Mto Rufiji, Mto Wami na mito miingii iliyopo kwenye mikoa yetu ndiyo tuweze kufanya kitu expensive cha kuondoa chumvi maji ya bahari?? Yaani ni sawa na nyumbani kwako ushindwe kupata kitafunwa cha mihogo au magimbi na uji asubuhi halafu mtu aje kukushauri kwamba kama huwezi afford mihogo na uji why not try keki na juice ya passion??
Hakuna Cha gharama ni uzuzu tu, najua Kila kitu ndio maana nikasema
 
Unavyofanya biashara unategemea kupata faida,Dawasa inatoa huduma kwa jamii pia ipate faida ya kujiendesha, desalination process ni very expensive.

Utakuwa unatumia gharama kubwa halafu faida hupati, labda wajenge reservoirs kubwa kwa ajili ya kuhifadhi maji itasaidia kipindi cha dry season.
Nchi hii mito na maziwa mengi sana,hatuna vipaumbele.
Sisi ni nyumba kwanza badala ya choo kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom