Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,935
- 10,559
Mwanaume wa dar utamjua tu kwa shobo unawashobokea wasukuma wape dada zako uwe unakujaa kukaa kwao shoboshobo tu utakuja kupakatwa muone kwanza
Sasa kama ndo jamii pekee ya kutolewa mifano ya ushamba tufanyeje sasa?Tuwasingizie wengine wakati nyie mpo?
thenge thana weweHii sura si ya kisukuma hata kidogo, kafanana na Dogo Janja hivi anatokea wapi huyu dogo?
usichukie best, potezea, ila wa.su.ku.ma kwa miwa mmezidi, ukiwa barabarani kuanzia Igoma hadi Kisesa kando ya barabara ni masala ya miwa tupu! ukifika bango la Zain (St. Mary school) hapo ndo kituo cha wauza miwa...Hii tabia ya kutaja makabila ikome, sawa?. sisi hatuna shida na chai, hata sukari isipokuwepo poa tu, nyie watu wa Dar mtakufa hii awamu na bado.
Vipi mkuu, jiwe limeangukia penyewe?Hii tabia ya kutaja makabila ikome, sawa?. sisi hatuna shida na chai, hata sukari isipokuwepo poa tu, nyie watu wa Dar mtakufa hii awamu na bado.
Za wapi hizo mkuu!Kwa hiyo hata kama ushamba huko kwingine kama washikaji wapo wengine ndo hawataniwi!Teh!Sasa kama ndo jamii pekee ya kutolewa mifano ya ushamba tufanyeje sasa?Tuwasingizie wengine wakati nyie mpo?
Unajua vitu vingine vinakera, kila kitu msukuma hata kama ni utani, huu umezidi sasa.Vipi mkuu, jiwe limeangukia penyewe?
Dah kuna watu aspo gusia wasukuma chooni haendi kabisaaa, kila kituko kinaelekezwa kwa wasukuma Daaah!!!
Si vituko vimeanzia magogoni lakiniDah kuna watu aspo gusia wasukuma chooni haendi kabisaaa, kila kituko kinaelekezwa kwa wasukuma Daaah!!!
Haina shida nyie chekeni tu lakini sisi ndo wenye nchi hii, upo hapooSi vituko vimeanzia magogoni lakini
Galekage mambuli agoHaina shida nyie chekeni tu lakini sisi ndo wenye nchi hii, upo hapoo

Yaani ghakariri buchilulu sana.Galekage mambuli ago
![]()
![]()
![]()
![]()
Galekagi duhu iki mipugu gise shi, majogoli ganaya gatina gwakulonja.Yaani ghakariri buchilulu sana.