Wastani wa watu 5 wanatekwa kila siku

Wastani wa watu 5 wanatekwa kila siku

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Wakuu Hali ni mbaya leo nimeshudia mtu akitekwa kimara

Nilikuwa kwenye gari yangu nashuka town aise mtu katekwa katolewa kwenye gari yake kawekwa kwenye pro box halafu kupelekwa direction ya town kupitia morogoro road.

Aise wakuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani

Wastani wa watu 5-10 wanatekwa na kupotea kwa siku Tanzania

Chagueni kuendelea kuuwawa au tutoke tarehe 29/10/2025 watuue wote au tuendelee kuvunjiwa nyumba na kutekwa kufirwa na kuuawa na miili yetu kutoonekana Tena.

Leo Ni mtu wa pili anatekwa nashuhudia live nikiwa kwenye foleni.
 
Wakuu Hali ni mbaya leo nimeshudia mtu akitekwa kimara

Nilikuwa kwenye gari yangu nashuka town aise mtu katekwa katolewa kwenye gari yake kawekwa kwenye pro box halafu kupelekwa direction ya town kupitia morogoro road.

Aise wakuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani

Wastani wa watu 5-10 wanatekwa na kupotea Tanzania

Chagueni kuendelea kuuwawa au tutoke tarehe 29/10/2025 watuue wote au tuendelee kuvunjiwa nyumba na kutekwa kufirwa na kuuawa na miili yetu kutoonekana Tena.

Leo Ni mtu wa pili anatekwa nashuhudia live nikiwa kwenye foleni.
Ni kweli kabisa watu wanatekwa hapo kwenye 5 sijui una takwimu mkuu?
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Wakuu Hali ni mbaya leo nimeshudia mtu akitekwa kimara

Nilikuwa kwenye gari yangu nashuka town aise mtu katekwa katolewa kwenye gari yake kawekwa kwenye pro box halafu kupelekwa direction ya town kupitia morogoro road.

Aise wakuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani

Wastani wa watu 5-10 wanatekwa na kupotea kwa siku Tanzania

Chagueni kuendelea kuuwawa au tutoke tarehe 29/10/2025 watuue wote au tuendelee kuvunjiwa nyumba na kutekwa kufirwa na kuuawa na miili yetu kutoonekana Tena.

Leo Ni mtu wa pili anatekwa nashuhudia live nikiwa kwenye foleni.
Bora wakuteke na kukuua kuliko kutatuliwa marinda. Yani unavuliwa ubingwa hivihivi lazima mkono wa hatarii utembee.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
adriz
 
Nyie ndo mnataka kuandamana, yani watu wawili wanamteka mtu mbele yenu watu zaidi ya 50 na mmejificha mnachungulia kwa mbali hata kwenda kumuokoa mmeshindwa ndo mtaweza kuandamana? Huu ujasiri wa kinafiki mitandaoni mngeuhamishia mtaani mtu asingetekwa.
 
Kuna kundi la kihalifu limeingizwa chini ya mtoto wa mamake kuja kutafuta kuzuia Tanganyika asitolewe usukuleni.

Hawatoweza.
 
Wakuu Hali ni mbaya leo nimeshudia mtu akitekwa kimara

Nilikuwa kwenye gari yangu nashuka town aise mtu katekwa katolewa kwenye gari yake kawekwa kwenye pro box halafu kupelekwa direction ya town kupitia morogoro road.

Aise wakuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani

Wastani wa watu 5-10 wanatekwa na kupotea kwa siku Tanzania

Chagueni kuendelea kuuwawa au tutoke tarehe 29/10/2025 watuue wote au tuendelee kuvunjiwa nyumba na kutekwa kufirwa na kuuawa na miili yetu kutoonekana Tena.

Leo Ni mtu wa pili anatekwa nashuhudia live nikiwa kwenye foleni.
Habari bila picha,hiyo ni chai,kama chai nyingine!
 
Nyie ndo mnataka kuandamana, yani watu wawili wanamteka mtu mbele yenu watu zaidi ya 50 na mmejificha mnachungulia kwa mbali hata kwenda kumuokoa mmeshindwa ndo mtaweza kuandamana? Huu ujasiri wa kinafiki mitandaoni mngeuhamishia mtaani mtu asingetekwa.
Subiri hapo hapo, siku mume wako akitekwa utabadili msimamo.
Polepole alitegemea atakuja kutekwa na CCM aliyoitetea kipindi cha Magufuli?
Karma is a bitch.
 
Subiri hapo hapo, siku mume wako akitekwa utabadili msimamo.
Polepole alitegemea atakuja kutekwa na CCM aliyoitetea kipindi cha Magufuli?
Karma is a bitch.
Mi ni kibenten wa mamaako labda mamaako akitekwa ndo nitabadili msimamo.
 
Wakuu Hali ni mbaya leo nimeshudia mtu akitekwa kimara

Nilikuwa kwenye gari yangu nashuka town aise mtu katekwa katolewa kwenye gari yake kawekwa kwenye pro box halafu kupelekwa direction ya town kupitia morogoro road.

Aise wakuu Hali ni mbaya kuliko tunavyodhani

Wastani wa watu 5-10 wanatekwa na kupotea kwa siku Tanzania

Chagueni kuendelea kuuwawa au tutoke tarehe 29/10/2025 watuue wote au tuendelee kuvunjiwa nyumba na kutekwa kufirwa na kuuawa na miili yetu kutoonekana Tena.

Leo Ni mtu wa pili anatekwa nashuhudia live nikiwa kwenye foleni.
Ndugu wakati unaangalia hayo yote, je ulichukua hatua gani kunusuru uhai wa mtanzania mwenzako?

Mabadiliko ya kwenu yanaanza na wewe
 
Back
Top Bottom