Wastaafu waende VETA kupata ujuzi

Wastaafu waende VETA kupata ujuzi

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,103
Wastaafu wote wanashauriwa kwenda kusomea Mapishi kwa ajili ya maandalizi yA AFCON 2027.
 
Wajomba sasa mnaleta utani, mzee wa miaka 60, 70, 80, 90,100, aende VETA kusoma nini wakati anajilia pensheni yake taratibu akisubiria muda wake wa kuaga dunia? Hii ya kusoma VETA inawahusu vijana, hasa hawa wenye degree wasio na ajira wanaotokwa povu jingi baada ya kupewa ushauri wa kwenda kupata stadi za ufundi VETA
 
Wajomba sasa mnaleta utani, mzee wa miaka 60, 70, 80, 90,100, aende VETA kusoma nini wakati anajilia pensheni yakf taratibu akisubiria muda wake wa kugag dunia? Hii ya kusoma VETA inawahusu vijana, hasa hawa wenye degree wasio na ajira wanaotokwa povu jingi baada ya kupewa ushauri wa kwenda kupata stadi za ufundi VETA
VETA iwe lazima kila raia
 
Back
Top Bottom