Deghe Mangae
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 171
- 149
Binafsi naona kizungumkuti kwa wastaafu wa utumishi wa Serikali bado hawajui hatima yao ya mafao manake hawapati kwa wakati.
Hii haileti picha nzuri mtumishi ameshajichokea bado anacheleweshewa mafao yake. Hii kitu
mbaya sana na huu sio ustaarabu kabisakwa kweli hii tabia siipendi kabisa mimi binafsi.
Mtumishi amesota miaka kibao
bado tu hatendewi haki kwanini?
Hebu Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu mnasubiri mpaka Afariki?
Hii haileti picha nzuri mtumishi ameshajichokea bado anacheleweshewa mafao yake. Hii kitu
mbaya sana na huu sio ustaarabu kabisakwa kweli hii tabia siipendi kabisa mimi binafsi.
Mtumishi amesota miaka kibao
bado tu hatendewi haki kwanini?
Hebu Serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu mnasubiri mpaka Afariki?