Wassira: Nasisitiza Vincent Nyerere sio Ukoo Wa Nyerere

Nawakumbusha wale wasomaji wa Biblia wakati Wanadamu wanajenga mnara ili wamfikie Mungu kule Babeli (Mnara wa Babeli). Kumbuka kuwa wote walikuwa na lugha moja na kwa umoja ule, ni wazi walikuwa wafike hadi mbinguni.
Mungu alichofanya ni kuwachanganya kwa kuwapa lugha tofauti ili wasielewane. Mnara ukaishia palepale!
CCM wamechanganyikiwa kama wa-Babeli, wanapiga kampeni moja lakini hawaelewani.
Babeli umeanguka !
 
Hao watu bwana wameishiwa sera, wanatapatapa tuu hawana muelekeo...wanapingana wao kwa wao, Wassira wa Musoma amefuata nini Arumeru?Kweli wameishiwa point...waoneeni huruma tu hata msiwapashe tena.Vincent kaza buti kamanda, uko juu ndio maana wanakuandama...
 


Nomba uhusiano wa HIYO KAULI NA UCHAGUZI ARUMERU!
 

Ole Sendeka personal short history:

1: Div 0 Form vi @ Old moshi
2: Kampa mimba mwanafunzi huko Simanjiro;
3; Has poorest reasoning capability: almost null minded
eg; kasema wamasai wasiwasikilize watu wa Musoma akimsema Vicent Nyerere, "meanwhile yupo na Wassira
mtu wa Musoma as well, imagine, Div. 0 @ work,

Ole + Wassira i disregarded them long time, tunawajua they are not new, have no news, no views, hence it's
useless to review what they talk......
with big stomachs still hawashibi, i am out.... c u
 

Just imagine: ameacha kazi yake ya uwaziri anapiga jalamba huko Arusha....

Ndio mawaziri wetu hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…