Wassira kwa ulalaji

hapa analala wakati alikuwa ana kaimu nafasi ya waziri wa maji wakati wa mapitio ya bajeti
 
Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:<br />
<br />
Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35856&amp;stc=1" attachmentid="35856" alt="" id="vbattach_35856" class="previewthumb" /><br />
<br />
Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35857&amp;stc=1" attachmentid="35857" alt="" id="vbattach_35857" class="previewthumb" /><br />
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai
<br />
<br />
tatizo watanzania wengi bado tumelala, siku tutakayoamka sisi,hakika hakutakuwa na mlalaji hata mmoja bungeni.
 
Kashiba nyama za mnadani pale Dodoma.Si unajua nyama choma na moja ya moto moja ya baridi?Alafu Bunge letu si unajua DS100 AND DS 200 NYINGI SANAAAA.Hakuna jipya so mzee lazima alale tu.
 
Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:

Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua
View attachment 35856

Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.

View attachment 35857
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai

hajalala jamani anatafakari mwenzenu mwoneeni huruma wizara yake ni nzitooo
 
Kusinzia ni pumziko jema sana, ingawa Bungeni siyo mahala pake, hata hivyo mzee wetu Wasira katumikia nchi hii muda mrefu, ana haki ya kuwa mchovu
 
Asikudanganye m2 usingizi mtamu xana ngojea nilale niote ndoto njema maisha matamu sana kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
 
eti huyu ndiye komandooo. wasiwe makomandoo kina tundu lisu,zitto, lema,wenje n.k awe yeye!kwisha habari yake, na tunaziweka pazuri hizi picha. makamanda tutazibandika kuta zooote za jimboni kwake baada ya bajeti!nisaidieni tutumie taito gani?
 
attachment.php

Jamani muwe na huruma huyu mzee alisha sema ni mgojwa na posho anazitaka sasa nyie mnataka akalala nyumbani akose posho eboooooooooo....yaani hapa ni sawa na kuwambia Shibuda posho ifutwe.....hahahahahahahahahah

Shida ni kwamba anaumia shingo. Itabidi mheshimiwa msemaji afikirie kuweka vitanda angalo vichache humo mjengoni kwa ajili ya wazee wetu hawa..
 
he ! Mbona na huyo jirani yake naye anakoroma?umri jamani !
Hivi kwa nini isipitishwa sheria ili uwe mbunge umri usizidi miaka 45 mwisho. Haya madingi yanakoroma tu humo bungeni wakati watanzania walipa kodi wanatoka jasho wao matumbo makubwaaa kukazania posho zisifutwe na mishahara iongezwe. Inanitia uchungu sana!!
 
Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:<br />
<br />
Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35856&amp;stc=1" attachmentid="35856" alt="" id="vbattach_35856" class="previewthumb" /><br />
<br />
Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35857&amp;stc=1" attachmentid="35857" alt="" id="vbattach_35857" class="previewthumb" /><br />
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai
<br />
<br />
Ama kweli usingizi hauna baunsa,,na ukistaajabu xa musa utaona ya wasira.
 
Lizee la kusinzi hilo, yawezekana linaumwa ugonjwa wa malale aisee

Sijui wanfamilia wanajisikiaje kuona dingi ni champ wa kuuchapa kazini

next time aende na pajama na awe anapokea night/sleeping allowances tu

WHAT A WASTE OF TIME SLEEPING IN A MEETING
 
Hata mwenye ulemavu wa macho ataona kuwa huyo mzee hajalala. Kwa akili yako mtu atalalaje huku anaandika? Tupunguze ushabiki na badala yake tutumia viungo alivyotupa Mungu kwa matumizi ya kufikiri badala ya kutumia maungio ya kukalia chini kufikiria.
 
Kazi sana kulinda upuuzi.... sijui macho yake nayo meusi kama rangi yake???

what a waste
 
Back
Top Bottom