<br />Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:<br />
<br />
Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35856&stc=1" attachmentid="35856" alt="" id="vbattach_35856" class="previewthumb" /><br />
<br />
Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35857&stc=1" attachmentid="35857" alt="" id="vbattach_35857" class="previewthumb" /><br />
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai
Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:
Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua
View attachment 35856
Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.
View attachment 35857
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai
Hivi wewe Kichuguu una tatizo gani na mzee Wassira? Kwa kuanzisha hii thread unataka kuprove nini hasa?
<br />Kashiba nyama za mnadani pale Dodoma.Si unajua nyama choma na moja ya moto moja ya baridi?Alafu Bunge letu si unajua DS100 AND DS 200 NYINGI SANAAAA.Hakuna jipya so mzee lazima alale tu.
Jamani muwe na huruma huyu mzee alisha sema ni mgojwa na posho anazitaka sasa nyie mnataka akalala nyumbani akose posho eboooooooooo....yaani hapa ni sawa na kuwambia Shibuda posho ifutwe.....hahahahahahahahahah
Hivi kwa nini isipitishwa sheria ili uwe mbunge umri usizidi miaka 45 mwisho. Haya madingi yanakoroma tu humo bungeni wakati watanzania walipa kodi wanatoka jasho wao matumbo makubwaaa kukazania posho zisifutwe na mishahara iongezwe. Inanitia uchungu sana!!he ! Mbona na huyo jirani yake naye anakoroma?umri jamani !
<br />Najua watu walishaongelea topic hii ila nadhani syo vibaya kujikumbusha tena:<br />
<br />
Mwezi mmoja uliopita, Kiongozi huyu alilishambulia gazeti la Mwananchi kuwa ni uchochezi kwa kumpiga yeye picha akiwa amelala. Akadai kuwa siku hiyo alikuwa amekunywa dawa ya mafua<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35856&stc=1" attachmentid="35856" alt="" id="vbattach_35856" class="previewthumb" /><br />
<br />
Hata hivyo, jana tena ameonekana bungeni akiwa amelala.<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35857&stc=1" attachmentid="35857" alt="" id="vbattach_35857" class="previewthumb" /><br />
Nadhani Mzee wetu Wassira baada ya kulitumikia taifa hili kwa nguvu sana kwa zaidi ya miaka 40, inabidi akubali kuwa nguvu zimekwisha sasa na hivyo anatakaiwa akapumzike Nyambitilwa awaachie uongozi vijana, siyo kweli kuwa vijana wanavuta bangi kama alivyodai