Wassira Kawa Padri?

Status
Not open for further replies.
Acha kuchezea picha ya Mhe. Rais Mtarajiwa.
 
Huyu jamaa ana sura ya ajabu sana.....anatisha
 
Nkuu hiyo alikuwa kwenye nkutano nje ya nchi, na nilipoichunguza zaidi hii makitu nimegundua k2 kama maslaba ni ID hahahah lol
 
Mumefanana sura sema wewe unadunda na suruali fupi fupi...




acha ujinga wewe ... hapo ulipo unaweza ukatoka ukaenda jikoni au kwenye gari moto ukakuunguza usoni... hebu kuweni wastaarabu kidogo

 
Wasira mbona yuko poa tu, hata akiwa Presidaa atafaa ona hii
View attachment 92025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Stephen Masato Wasira-2015.
 
Mumefanana sura sema wewe unadunda na suruali fupi fupi...


haha vipi niliona mahala kiongozi wenu ambaye haruhusiwi kuoa katafuna mke wa mtu , usipoteze muda na njiwa JF mi nimeruhusiwa kuoa hadi 4 , kachunge mkeo .. wameamua kuchinja basi wanachinja hadi wake za watu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…