johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Mzee Wassira amesema yeye na mstaafu Kikwete walitia akili ya ziada kuwashawishi Chadema kuachana na siasa za vurugu.
Ikumbukwe kuwa sera iliyojificha ya Chadema ni kufanya nchi isitawalike na hayati Magufuli hakuwa tayari kulea upuuzi huo.
Nasisitiza Magufuli hakuwa mjinga, amesema mzee Wassira.mbele ya Zitto Kabwe wa ACT wazalendo
Source: TBC
Ikumbukwe kuwa sera iliyojificha ya Chadema ni kufanya nchi isitawalike na hayati Magufuli hakuwa tayari kulea upuuzi huo.
Nasisitiza Magufuli hakuwa mjinga, amesema mzee Wassira.mbele ya Zitto Kabwe wa ACT wazalendo
Source: TBC