PreGE2025 Wassira: Hakuna kupita bila kupingwa

PreGE2025 Wassira: Hakuna kupita bila kupingwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,576
Reaction score
2,499
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira Machi 16, 2025, akizungumza na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Ileje, amesisitiza kuwa chama hicho kimeweka utaratibu wa wazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Katika hotuba yake, Wasira alifafanua kuwa hakutakuwa na utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa katika chaguzi za ndani ya chama, akisisitiza umuhimu wa demokrasia na ushindani wa haki.
Aidha, aliwahimiza vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za udiwani na ubunge, akisema kuwa CCM ni chama kinachojengwa na vijana.

"Tunataka kuona vijana wanajitokeza kwa wingi katika mchakato wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

"CCM ni chama chenye misingi ya ushirikishwaji, na tunahitaji damu mpya kuendeleza mafanikio tuliyoyapata," alisema Wasira.

Pia, alisisitiza kuwa CCM imejipanga kuhakikisha uchaguzi wake unakuwa wa uwazi, haki, na ushindani wa kweli, ili kutoa fursa kwa wanachama wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya chama na taifa kwa jumla.

Katika mkutano huo, viongozi na wanachama wa CCM walionyesha hamasa kubwa, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi.


Soma pia: Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
 
Yuko sahihi vijana wengi jitokezeni msiogope jina la mtu ikifika muda wa kuchukua fomu kachukueni

Kwanza itawasaidia hata CV zenu kufika kwenye chama mwaweza hata teuliwa vyeo vingine hata mkikosa

Tumieni hizo fomu za maombi ambamo hujaza cv kama njia ya kuwakilisha CV zenu
Ombeni kwa wingi sana
 

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira Machi 16, 2025, akizungumza na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Ileje, amesisitiza kuwa chama hicho kimeweka utaratibu wa wazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.​

Katika hotuba yake, Wasira alifafanua kuwa hakutakuwa na utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa katika chaguzi za ndani ya chama, akisisitiza umuhimu wa demokrasia na ushindani wa haki.​

Aidha, aliwahimiza vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za udiwani na ubunge, akisema kuwa CCM ni chama kinachojengwa na vijana.​

"Tunataka kuona vijana wanajitokeza kwa wingi katika mchakato wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.​

"CCM ni chama chenye misingi ya ushirikishwaji, na tunahitaji damu mpya kuendeleza mafanikio tuliyoyapata," alisema Wasira.​

Pia, alisisitiza kuwa CCM imejipanga kuhakikisha uchaguzi wake unakuwa wa uwazi, haki, na ushindani wa kweli, ili kutoa fursa kwa wanachama wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya chama na taifa kwa jumla.​

Katika mkutano huo, viongozi na wanachama wa CCM walionyesha hamasa kubwa, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi.​

View attachment 3273898
Rudisheni hiyo nyara haraka sana kule Gombe
 
Kina Babu Tale sijui watatokea mlango gani safari hii.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira Machi 16, 2025, akizungumza na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Ileje, amesisitiza kuwa chama hicho kimeweka utaratibu wa wazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Katika hotuba yake, Wasira alifafanua kuwa hakutakuwa na utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa katika chaguzi za ndani ya chama, akisisitiza umuhimu wa demokrasia na ushindani wa haki.
Aidha, aliwahimiza vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za udiwani na ubunge, akisema kuwa CCM ni chama kinachojengwa na vijana.

"Tunataka kuona vijana wanajitokeza kwa wingi katika mchakato wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

"CCM ni chama chenye misingi ya ushirikishwaji, na tunahitaji damu mpya kuendeleza mafanikio tuliyoyapata," alisema Wasira.

Pia, alisisitiza kuwa CCM imejipanga kuhakikisha uchaguzi wake unakuwa wa uwazi, haki, na ushindani wa kweli, ili kutoa fursa kwa wanachama wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya chama na taifa kwa jumla.

Katika mkutano huo, viongozi na wanachama wa CCM walionyesha hamasa kubwa, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi.


Soma pia: Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
Kwa pamoja tunajenga nchi yetu Tanazania,

well done comrade Stephen Wasira 👊💪
 
Maada hapa ni ubunge na udiwani hiyo yako kaanzishe mada kwingine

Jikite kwenye mada
Shetani wewe, amesema kwenye chama cha CCM, yeye hayupo CCM? ni ujinga kusema hakuna kupita bila kupingwa na wakati yeye hakupingwa, aliyethubutu kuhoji anatishiwa maisha na kafukuzwa uana chama, why hawakumuita na kumwelewesha?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira Machi 16, 2025, akizungumza na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Ileje, amesisitiza kuwa chama hicho kimeweka utaratibu wa wazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Katika hotuba yake, Wasira alifafanua kuwa hakutakuwa na utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa katika chaguzi za ndani ya chama, akisisitiza umuhimu wa demokrasia na ushindani wa haki.
Aidha, aliwahimiza vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za udiwani na ubunge, akisema kuwa CCM ni chama kinachojengwa na vijana.

"Tunataka kuona vijana wanajitokeza kwa wingi katika mchakato wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

"CCM ni chama chenye misingi ya ushirikishwaji, na tunahitaji damu mpya kuendeleza mafanikio tuliyoyapata," alisema Wasira.

Pia, alisisitiza kuwa CCM imejipanga kuhakikisha uchaguzi wake unakuwa wa uwazi, haki, na ushindani wa kweli, ili kutoa fursa kwa wanachama wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya chama na taifa kwa jumla.

Katika mkutano huo, viongozi na wanachama wa CCM walionyesha hamasa kubwa, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi.


Soma pia: Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
Uchaguzi wa wazi, haki na huru unawezekana ndani ya cdm tu. Hivyo aache utapeli usio na tija.
 
Uchaguzi wa wazi, haki na huru unawezekana ndani ya cdm tu. Hivyo aache utapeli usio na tija.
Kila chama kina yake hakuna chama ambacho kinatakiwa kuwa photocopy ya chama kingine

Vinginevyo hakuna maana ya kuwa na vyama vingi tungekuwa na Chadema tu

Chadema pambaneni na hali zenu hakuna chama kingine cha siasa chenye mpango wa kuwa photocopy yenu
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira Machi 16, 2025, akizungumza na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Ileje, amesisitiza kuwa chama hicho kimeweka utaratibu wa wazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Katika hotuba yake, Wasira alifafanua kuwa hakutakuwa na utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa katika chaguzi za ndani ya chama, akisisitiza umuhimu wa demokrasia na ushindani wa haki.
Aidha, aliwahimiza vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za udiwani na ubunge, akisema kuwa CCM ni chama kinachojengwa na vijana.

"Tunataka kuona vijana wanajitokeza kwa wingi katika mchakato wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

"CCM ni chama chenye misingi ya ushirikishwaji, na tunahitaji damu mpya kuendeleza mafanikio tuliyoyapata," alisema Wasira.

Pia, alisisitiza kuwa CCM imejipanga kuhakikisha uchaguzi wake unakuwa wa uwazi, haki, na ushindani wa kweli, ili kutoa fursa kwa wanachama wote wenye sifa kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya chama na taifa kwa jumla.

Katika mkutano huo, viongozi na wanachama wa CCM walionyesha hamasa kubwa, huku wakiahidi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi.


Soma pia: Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
Asitudanganye huyo Mzee. Mbona kauri yake haiakisi ukweli ndani ya chama chake Kwa sababu Samia Suruhu Hassan kapita bila kupingwa katika chama.
 
Asitudanganye huyo Mzee. Mbona kauri yake haiakisi ukweli ndani ya chama chake Kwa sababu Samia Suruhu Hassan kapita bila kupingwa katika chama.
Patashika nguo kuchanika safari hii iko kwenye ubunge na udiwani

Vijana chukueni fomu kama wehu msijali chochote muwe na uzoefu au la chukueni fomu

Chama ndicho kitaamua

After all ubunge na udiwani hausomewi hakuna shule au chuo cha kufundisha mtu ubunge au udiwani

Gombeeni msiogope vijana na asiwababaishe yeyote

Chukueni fomu
 
Back
Top Bottom