samstevie
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 202
- 31
Ester Bulaya amemmaliza mzee Wassira kwa kuanzisha ligi yake ya Ester Cup. Amewakamata vijana.
Hivi mbona nakumbuka kwamba wakati akiwa Waziri wa Maji Wassira aliwahi kushutumiwa kwa kulipendelea jimbo lake kwa kupeleka mradi mkubwa wa maji huko? Huo mradi uliishia wapi kama Bunda haina maji?
Simply kala pesa hapo hakuna jingine mkuu.