DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Huyu mzee alikuwa akihojiwa ma TBC.Ameulizwa swali kuwa kwa nini wanarejesha muswada huo wakati ulipitishwa hivi karibuni.Wahasira akafura akasema serikali ndo imeona mapungufu na mtu yeyote asijisifu kuwa kamshauri rais,na akakanusha mh rais kubembeleza wabunge wa ccm wasisusie leo wakti muswada huo ukirejeshwa