Waziri ktk ofisi ya Rais mahusiano na uratibu na mbunge wa Bunda mh Stephen Masatu Wassira, amesema kuwa hakuna kiongozi yeyote mwenye akili timamu atakaepinga kuwa Opereshen Tokomeza haikuwa na madhara kwa Wananchi!
Kauli hii inakuja baada ya siku chache zilizopita Naibu waziri wa Mali asili na Utalii, mh Lazaro Nyalando kutoa kauli akidai kuwa ripoti ya kamati ya bunge iliyokua chini ya mbunge wa Kahama mh James Lembeli ilipotosha ukweli dhidi ya Opereshen Tokomeza!
Source: Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti
Kauli hii inakuja baada ya siku chache zilizopita Naibu waziri wa Mali asili na Utalii, mh Lazaro Nyalando kutoa kauli akidai kuwa ripoti ya kamati ya bunge iliyokua chini ya mbunge wa Kahama mh James Lembeli ilipotosha ukweli dhidi ya Opereshen Tokomeza!
Source: Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti