Wassira amjibu Lazaro Nyalandu!

Wassira amjibu Lazaro Nyalandu!

sokoinei

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,832
Reaction score
566
Waziri ktk ofisi ya Rais mahusiano na uratibu na mbunge wa Bunda mh Stephen Masatu Wassira, amesema kuwa hakuna kiongozi yeyote mwenye akili timamu atakaepinga kuwa Opereshen Tokomeza haikuwa na madhara kwa Wananchi!

Kauli hii inakuja baada ya siku chache zilizopita Naibu waziri wa Mali asili na Utalii, mh Lazaro Nyalando kutoa kauli akidai kuwa ripoti ya kamati ya bunge iliyokua chini ya mbunge wa Kahama mh James Lembeli ilipotosha ukweli dhidi ya Opereshen Tokomeza!

Source: Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti
 
Sikuona ajabu kwa kauli kama ile kutoka kwa nyalandu mana sio mtu makini, amefika hapo kwa kujipendekeza pendekeza sio kwa umakini wa kiutendaji. Ntashangaa sana kama rais atamrudisha katika baraza la mawaziri
 
Waziri ktk ofisi ya Rais mahusiano na uratibu na mbunge wa Bunda mh Georg Masatu Wassira,amesema kuwa hakuna kiongozi yeyote mwenye akili timamu atakaepinga kuwa Opereshen Tokomeza haikuwa na madhara kwa Wananchi!

Kauli hii inakuja baada ya siku chache zilizopita Naibu waziri wa Mali asili na Utalii,,mh Lazaro Nyalando kutoa kauli akidai kuwa ripoti ya kamati ya bunge iliyokua chini ya mbunge wa Kahama mh James Lembeli ilipotosha ukweli dhidi ya Opereshen Tokomeza!

Source; Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti.

ni Stephen masatu wasira na si George
 
Sikuona ajabu kwa kauli kama ile kutoka kwa nyalandu mana sio mtu makini, amefika hapo kwa kujipendekeza pendekeza sio kwa umakini wa kiutendaji. Ntashangaa sana kama rais atamrudisha katika baraza la mawaziri

Lazima kuna mtu amehaki akaunti yako,..... Wewe wa kumsema mwanaCCM mwenzio...??? Wengine mmekunywa maji ya benera ya chama, yaani hata mwanachama akosee vipi, huwa mnamtetea....
 
Waziri ktk ofisi ya Rais mahusiano na uratibu na mbunge wa Bunda mh Georg Masatu Wassira,amesema kuwa hakuna kiongozi yeyote mwenye akili timamu atakaepinga kuwa Opereshen Tokomeza haikuwa na madhara kwa Wananchi!

Kauli hii inakuja baada ya siku chache zilizopita Naibu waziri wa Mali asili na Utalii,,mh Lazaro Nyalando kutoa kauli akidai kuwa ripoti ya kamati ya bunge iliyokua chini ya mbunge wa Kahama mh James Lembeli ilipotosha ukweli dhidi ya Opereshen Tokomeza!

Source; Radio Free Afrika tuzungumze Magazeti.

Kila operesheni huwa na madhala yake hususani Kama haikuratibiwa Vizuri kisayansi na miiko ya kazi kuzingatiwa kwani hata Operesheni Kimbunga nayo ilikumba waliokuwemo na wasio kuwemo lakini baada ya wanasiasa kuziingilia hizi Operesheni Sasa Majangiri na Wahamiaji wote wameludi Kama zamani na sasa Majangiri ni Kama hawana wa kuwazuia Tembo wanateketea kwa kasi ya Ajabu Majangiri wao wapo kazini wakati Wasira na Nyalando na akina Limbeli wanaendeleza Malumbano kule mbugani Tembo wanateketea : Ushauri wa Bure Tunaiomba Serikari ifanye Operesheni ingine lakini ifanyike Kisayansi zaidi yenye kuzingatia Haki za Binadamu kabla ya Operesheni watumwe wapelelezi wa Siri kwenye vijiji vyote vilivyo jirani na Hifadhi za wanyama ikibidi wachukuliwe wanavijiji waminifu watumike Kama informer wa kuleta Habari za kiintelijensia ili Operesheni ikifanyika iweze kuwatokomeza Majangiri kirahisi kinyume na hapo Malumbano hayatakwisha huku Tembo wanateketea kwa kasi
 
MaCCM kuropoka ni kawaida...! bado Nape atakuja na lake.

Malumbano Kati ya Wasira na Nyalando na Kamati ya Limbeli sasa yamewapatia Fursa Majangiri kujiachia huko mbugani sasa Tembo wanateketea kwa kasi kubwa
 
Watanzania hawahitaji Malumbano Kati ya Wasira Nyalandu na Limbeli kwani hayasaidii kuleta Ufumbuzi wa kasi wanapaswa watambue Kuwa Majangiri wameitumia Fursa hiyo ya Malumbano kuwateketeza Tembo kwa kasi kubwa yaani hadi siku malumbano yatapokwisha Tembo Nao watakuwa wamekwisha .
 
Acha wakologane tu, wanatudhihiria kuwa ni jinsi gani walifanya makosa kichagua ccm, sisi kazi yetu kwa sasa ni kuwapiga chini wote na chama chama chao, we need changes.
 
Acha wakologane tu, wanatudhihiria kuwa ni jinsi gani walifanya makosa kichagua ccm, sisi kazi yetu kwa sasa ni kuwapiga chini wote na chama chama chao, we need changes.

Nyalandu is criminal in US cc:Invisible 2010
 
Just a play boy. Naibu Waziri anayekuwa na lobbyist US!!!
 
Nyalandu is criminal in US cc:Invisible 2010

Yalishasemwa siku nyingi lakini wameziba masikio


https://www.jamiiforums.com/habari-...aro-samwel-nyalandu-mp-singida-kaskazini.html


JF Senior Expert MemberArray
Join Date : 2nd October 2007
Mh Lazaro Samwel Nyalandu MP Singida Kaskazini

Mh Nyalandu Mb wa Singida Kasikazini ni miongoni mwa wabunge vijana ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano. Nimatumaini yetu sisi vijana wenzako ungeweza tuwakilisha kwa utendaji kazi uliotukuka. Lakini lakini cha ajabu umejikusanyia na kujilimbikizia mali nyingi kwa kipindi kifupi sana. Nadhani wewe ni miongozi mwa wabunge matajiri sana. Una kampuni nyingi za Ujenzi wa bara bara na nyumba zisizo na idadi. Sina shida kama mali hizo umezichuma bila kuhusisha rushwa. Ingependeza kama umeorodhesha hizo mali, ujanja wa kuandika ndugu inaleta shaka kwenye integridity yako na uadilifu.

Nchi yetu ingekuwa na Usalama wa taifa na taasisi ya kuzuia rushwa bila shaka wangekufatilia. Enzi za Mwalimu baba wa taifa Julius Nyerere lazima angekuhoji.

Sina wasi wasi wa Elimu yako,ingawa kuna wasi wasi umechakachua. Hii nimeitoa kwenye kurasa za bunge.
Waldorf University College(U.S.A)
BA (Business Administration)
1994
1996
GRADUATE
Wartburg University College (U.S.A)
BA. (International Business)
1996
1998
GRADUATE
 
Back
Top Bottom