Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Aug 25, 2011 #21 Au hal ya hewa inamdhuru! Kiyoyoz n hatar kwake.
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Aug 25, 2011 #22 Afanye mazoezi aache kusingizia yupo kwenye dozi.....usingizi gani wa pono.
Kiungani JF-Expert Member Feb 2, 2007 274 71 Aug 25, 2011 #24 Jasusi said: Click to expand... Duuh, nadhani hao wangeepuka kupeana mikono (shaking hands) naye. Koti kavu, shati kavu, tai kavu.....unadhani ule udenda wa usingizi alikuwa anafuta na nini?
Jasusi said: Click to expand... Duuh, nadhani hao wangeepuka kupeana mikono (shaking hands) naye. Koti kavu, shati kavu, tai kavu.....unadhani ule udenda wa usingizi alikuwa anafuta na nini?
Mag3 Platinum Member May 31, 2008 13,064 22,757 Aug 25, 2011 #25 Duh, ni heri angeendelea kuuchapa maanake si ukali huo !