WaSouth Africa wafunge virago-Mbiu

Tumejaa na mesali kibao za luga yetu ,mfano akuchomae mchome,ukiujua mwengine anaujua huu ,chelewa chelewa utakuta mtoto si wakoo ,mzarau mwiba mguu huota tende, halafu kuna ile nyimbo isemayo Banda waMalawi katuvalia ngozi ya chui....
Ila kitu kimoja jambo ambalo linatufanya tuhanisiwe ni lile la luvishwa kilemba cha ukoka Tanzania ni nchi ya amani watu wake sijui si watu wa fujo yaani misfa kibao ,ndio hivyo sasa hata raisi tunaemtoa kuwakilisha haoni wauaji anawaita majambazi ,shame of this president yaani nikipima anawachafulia wengine wote ,kitu kipo open matelevishon yote duniani yanaonesha makundi ya wazulu alafu unaenda kusema ni majambazi ,sasa kama wale ni majambazi hawa tuliokuwa nao ambao ulitangaza vita vya ama zao au polisi watakuwa ni nani..vibaka?
Ni kuwaambia hawa majambazi tuliokuwa nao kuwa ili tuwahesabu kama majambazi ni lazima wafanye kama yanayotokea South Africa.
Hili ni tatizo kubwa kwa viongozi wa Africa hawa ndio wanaofanya nchi hizi zionekane bado zipo kwenye giza kubwa wanashindwa kukondemu ,wanashindwa kuambiana ukweli hivi mnasahau kama miaka uliyokuwa nanyo hapo ni mitano kama ikizidi ni kumi unaacha waTz wanauliwa kwa kusema eti ni majambazi.
Hii ndio balaala kutawaliwa na vyama vilivyopigania Uhuru ,vipo katika kulinda wasiondoke madarakani sijui wanaona wazungu watarudi ,ndio ile kasumba wanayoilima kule Zanzibar kusema upinzani ukishinda watarusha mabwana wa kiarabu so far utawala una wezi ambao ni mafisadi kibao.
 
mimi pia naunga mkono ,hao sio watu.

Kitu kimoja kuwa sisi ni watu wa Amani kutokana na tunavyojulikana nje ya nchi lakini humu ndani wenyewe kwa wenyewe ni rungu mtu ,polisi anaona fahari kumpiga raia bure bure kuliko kumkamata mwizi.
Nimesikia kuwa ndege ya raisi ni mbovu japo ni mpya kwa kununuliwa ,sasa basi serikali iwagharamie watanzania walioko huko na halafu iwadai watakaporejea.
Nashangaa kule Unguja vilienezwa vikaratasi kuwaeleza WaPemba warudi kwao Pemba lakini sijaona vikaratasi kuwataka na WaSouth Africa warudi kwao.
Bila ya shaka hapa Tanzania ukianzisha tu kuwakurupusha wasouth unaweza kukamatwa na kufungwa maana utaonekana ni mchochezi na si ajabu ukaambiwa mhaini.
 
hapana, nakataa!!!! naomba tuwafukuze WAHINDI NA WAARABU, hawa wasauzi hawana neno na sisi, hawa wa***** wengine ndo tatizo, si unaona wanavyomuendesha muungwana wetu, na wametuulia gavana wetu after using him to siphon our poor economy!!!
 
hapana, nakataa!!!! naomba tuwafukuze WAHINDI NA WAARABU, hawa wasauzi hawana neno na sisi, hawa wa***** wengine ndo tatizo, si unaona wanavyomuendesha muungwana wetu, na wametuulia gavana wetu after using him to siphon our poor economy!!!
Na Wapemba maana nao ni waarabu.
 
South Africa wanasafisha nchi yao kwa ajiri ya world Cup. katika nchi ile huwa inajulikana wanaoleta ujambazi na fujo ni wazamiaji. inawezekana hii ikawa strategy ya serikali yao. Hivyo initiative yoyote itakayofanyika katika kulazimisha serikali ya SA itafute soln ni muhimu sana.
 
Matatizo ya SA yamekuwa makubwa zaidi wakati wa uongozi wa bwana mbeki, hali ya uchumi imekuwa ngumu sana kiasi kwamba watu wasio na ajira wameongezeka sana kuliko hata wakati wa ubaguzi, nchi imeingia kwenye cris ya nishati, hali ya chakula imekuwa mbaya sana, wenyeji wakajikuta hawana kazi za kufanya kazi zote zinafanywa na waamiaji.

Hili liwe fundisho kwa serikali zetu kwa kuruhusu waamiaji kufanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na wenyeji, hii inaweza kutokea hata tanzania kwani wachina wanafanya kazi za umachinga kariakoo na serikali inawaangalia tu bila sababu ya msingi.
Mbeki hana uchungu kabisa na ile nchi,labda kwa kuwa wakati wa harakati zakupigania uhuru wa nchi hiyo yeye hakuwepo wala haupata jeraha lolote.Muda wote alikuwa amejikalia maeneo ya Chelmsford huko UK akijisomea na kuenjoy maisha.Baba yake mzee mbeki na kina oliver tambo kina mandela ndio walikuwa hoi kwa kupigania uhuru labda ndio sababu haoni uchungu.
 
I personal think that the solution of escalating of violence in SA cant be solved by the way Mwiba and other pundits says, of coz that can be a Solution but Not a Best solution.

What we a looking here ni kuja na best solution ambayo haita haribu diplomatic relationship btn our historical frnds countries, of coz we can demostrate lakini physical confrontations dhidi ya hawa makaburu i think is not a best solution so far, tukumbuke pia ni risk kwa uchumi wetu ambao hawa jamaa wanachangia kwa kiasi kikubwa, rejea yaliyotokea Uganda during the regime ya Idd Amin na yaliyotokea Zimbambwe in the foot of this decade.

Nevertheless sisi kaka wa-tz na serikali yetu lazima tujue na iwe kama caution kwetu kwamba as much as the natives they will be denied access to such salient basic needs then yale yaliyotokea SA are likely to happen kwetu hapa.
Mkuu Point!
Im sorry about what is going on in SA but it is/was inevitable. Do not get me wrong, im not a racist and i dont suport the killing of the innocent imigrats, rape and torture ila news flash hata Tz tungekua violent & barbaric in nature tungefanya the same. Hebu angalia kuna warwanda, kenya, congo, S.A,zambia, Wahindi U name it wamepenetrate kwenye Tz system as if they own our beloved country. Their # can out # the tzans in the system.Tz ni kisiwa cha amani ila ipo siku watu watareact in the same.Sisi nae tusipoangalia huko ndiko tuendako?tena labda sisi zitakuwa za wenyewe kwa wenyewe.
 
Asira hasara.....Umasikini na upumbavu vikikutana basi ni sumu kali. Haya ndiyo hale ya magabachori, Tanzania na sisi tungeingia katika mtego. Tatizo la elimu duni na umasikini ndio tunaona mambo kama yale ya watu kuwasherekea kina EL na kina Chenge. Watu wenye elimu duni na maendeleo duni mara nyingi wanatumiwa kwa sababu hawa ndio unaweza ukawaburuza unavyotaka....they have no time to reason. JAMANI ELIMU!!
 
Na mimi naomba waluguru wote warudi kwao maana hapa Darisalama si kwao! Tusisahau na hao wamachinga, wachagga, wapemba na wengine wakuja wanaotuzia sisi kumiliki biashara hapa kwetu Darisalama!
 
Asira hasara.....Umasikini na upumbavu vikikutana basi ni sumu kali. Haya ndiyo hale ya magabachori, Tanzania na sisi tungeingia katika mtego. Tatizo la elimu duni na umasikini ndio tunaona mambo kama yale ya watu kuwasherekea kina EL na kina Chenge. Watu wenye elimu duni na maendeleo duni mara nyingi wanatumiwa kwa sababu hawa ndio unaweza ukawaburuza unavyotaka....they have no time to reason. JAMANI ELIMU!!

Wengine wako hapa hapa utafikiri peremende walizopewa zitawaokoa. wameng'olewa kina EL, Chenge, Balali itakuwa wao wala peremende! tena pipi zenyewe ni makombo tu baada ya kulambwa.
 
SIKUWA NA PICHA OF WHAT IS HAPPENING IN THE COUNTRY WHICH I PRAISED TO THE EXTENT YA KUIFANANISHA NA NCHI YANGU KWA.... WIMBO WA TAIFA KUFANANA, BENDERA KUFANANA NA NILIENDA MBALI ZAIDI HATA KUFANANISHA ANC NA ...!
NI MPAKA PALE NILIPOTUMIWA E-MAIL IKIONYESHA PICHA ZA YALIYOJIRI/YANAYOJIRI.
PICHA MOJAWAPO (ikionyesha majina ya nchi ambazo watu wake hawatakiwi...(?)..) TANZANIA IKIWEMO....!
NIKARUDISHA KUMBUKUMBU ZANGU WAKATI WA HARAKATI ZA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA....! MOROGORO KULIKUWA NA KAMBI ILIYOKUWA KWA AJILI YAO TU....!
HATA KIBOKO YA MAFISADI ALIPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA MTU WA HUKO (sina hakika kama alikuwa akiishi kambini),
LEO HII KATI YA NCHI ZISIZOTAKIWA TANZANIA IMO.....! NADHANI NINAYOWAZA SI SAHIHI! BADO NIPO PUZZLED!
JE TUCHUKUE HII KUWA NI MAGENGE TU YA WAHUNI NA WASIOSOMA?
IS IT MUNGIKI TYPE?
 
Back
Top Bottom