MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Wasomi wengi tumekuwa tunashiriki kwenye siaasa kwa kuongea tu na wala si kwa vitendo hasa wanafunzi wa vyuo vikuu.kulalamika na kukosoa ndio wa kwanza.Je? ni mara ngapi umeshiriki kufikisha hoja zako kwa vitendo?mf:maandamano ya juzi hapa Ar asilimia 95 ya waandamanaji tuliokuwepo wote walikuwa watu wa chini kbs na wenye elimu ya chini,wasomi wa vyuo vikuu na wengine walikuwa kama asilimia 5.Sisi wasomi tunabaki majumbani na kushiriki tu kwa maneno bili vitendo.KAZI YA MAPINDUZI KTK NCHI YETU INATUTEGEMEA SISI WASOMI TUACHE KUWA WAONGEAJI TU TUNAWASALITI WENZETU AMBAO HAWAJAPATA NEEMA YA KUSOMA NA KWENDA SHULE.