Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

Tatzo la baadhi ya watu humu ni tutukanana kwnn ucongee au kupingana kwa hoja soma thread vzr kwa umakin co kuonyeshana ubabe wa matuc.
 
Huyo msomi ni mnafiki kaongea mambo yaleyale bila kuleta solution!!

Sijui kama unajuwa kusoma maana solution imendikwa kuwa ni serikali kukanusha maneno ya TL kwa hoja ya kudhibitisha kuwa hakuna dikiteita uchwara!!!!!!!!!!!!!
Naoma madarasa ya kisomo cha ngumbalu yarudishwe yanaweza kuwa msaada mkubwa kwa wengine!!!!!!!!!!!!!!
 
Ulivyo na akili kidogo hujui kuwa majaji wote wa mahakama kuu wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM
Hahahahahaha hata marekani rais anachagua majaji c Tanzania tu pili unatakiwa kujua rais akishamteua jaji hana mamlaka ya kumfukuza ndo maana majaji wa escrow JK hakuwafukuza pale ukumbi wa Diamond na kama ingekuwa kigezo ni icho ni mala ngapi serikali inashindwa kesi mahakamani?????? mahakama ndo sehemu pekee ambapo serikali inashindwa mfano kesi ya yule kada wa chadema mwanza serikali kupitia kwa police walikataa wasimzike je walipokwenda mahakamani je police hawakuwalinda ktk mazishi yao???? pili tundu lisu kinachomfanya mpaka sasa yuko nje akiendelea kutukana matusi si sheria au mahakama???? unadhani serikali ingekuwa na ushawishi mahakamani kama unavyo dhani serikali ingekuwa inashindwa kesi???? au lissu angekuwa nje leo??? mahakama ni sehemu ya kutafasiliwa kile kinachotungwa bungeni na ndo sehemu pekee inapotoka haki why mkishinda kesi mnasema mahakama imetenda haki??? coz haki ndo inapatikana pale
 
Ni kweli Tanzania hakuna wasomi maana ukiachilia mbali miujiza uliyoiandika hata matumizi ya herufi kubwa na ndogo kama wote tulivyofundishwa tulipoanza kusoma shule yanakushinda.
Naililia nchi yangu.
kwanza mm nakataa Tanzania hakuna wasomi bali kuna watu waliospend muda wao madarasani na kutunukiwa vyeti kwani changamoto zinazotukabili toka enzi ya uhuru nchi ilipokuwa na ma doctor wazawa 5 na injinia 1 ni zile zile mpka leo interview zinafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi degree, masters na phd zilivyo nying nchi hii lakini changamoto ni zile zile za toka enzi za uhuru

pia tunakiwa kujua maana halisi ya dictator kwa vigezo vya udictator magufuli hana ila kinachomfanaya aonekane dictator ni kutaka watanzania waishi kwa kufata mfumo wa sheria hcho tu. katiba aijakubali maandamano tu ndo maana kukawa na taasisi zinazotoa vibali vya kufanya maandamano kazi hyo walipewa jeshi la police kwani wao ndo wanahusika na ulinzi wa raia na mali zao sasa kama police wameona viashilia vya uvunjifu wa amani katiba inawaruhusu kupiga marufuku maandamano ayo. leo huwezi kusema maandamano yatakuwa ya amani wakati unatumia maneno ya lazima,hatukubali,aiwezekani,unaanzisha operation zenye majina ya ajabu sehemu yeyote unaposikia kuna operation hujue hapo amani hakuna aiitaji phd kujua ilo hata hospital operation ndio tiba ya mwisho kwa mgonjwa je leo chadema wameshindwa kutumia njia yeyote mpaka watanngaze operation ????

chama kinachojinasibu kuwa na hazina kubwa ya wasomi leo wameshindwa kutumia njia nyingine zaidi ya kutangaza maandamano dunia nzima hata marekani maandamano huwa yanadhibitiwa na police kwani impact ya maandamano ni kusababisha ulemavu ,usumbufu kwa watu huwezi kufungua biashara wakati maandamano yakiwapo shuguli nyingi za kiuchumi lazima zisimame pia chadema inatakiwa kujua ICC wanakwenda c watawala peke yao mpaka wapinzani wanakwenda pia. mfano kenya kenyatta na ruto walikuwa watawala?? kwa nn asiende kibaki???? ICC wanaangalia source ya vurugu zimesababishwa na nani

zipo njia nyingi za kufanya harakati zao coz mm naamini hawafanyi siasa bali wanafanya harakati tu kama wameshindwa bungeni sehemu pekee wanayoweza kuishinda serikali na ikakubali ni mahakamani pale ndipo wanaweza kupata haki zao zote tena hao waliokataa wasifanye siasa ndio watakuwa wanawalinda katk mikutano yao si wanawanasheria wazuri basi wakapambane mahakamani kama wanaona katiba imevunjwa coz sheria zinatungwa bungeni zinatafasiliwa mahakamani kuliko kuwaletea vijana wa maskini ulemavu kwa kupigwa mabomu na maji ya kuwasha
 
Inawezekana wewe ndio uliyeuzuria tu darasani harafu ukapewa tu cheti.
Sheria za vyama vya siasa ziko wazi na zinaeleweka. Na link umewekewa hapo juu.
Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inasema wazi wala haifichi juu ya mikutano ya kisiasa.
Wewe bado tu unapinga? Aaaah tafazari ndugu! Unahisi watu hawajui kusoma wala kuandika nini?
Serikali yoyote ya nchi yoyote ili iendelee inahitaji wapinzani wenye nguvu wanaoikosoa serikali ili ijitambua na ijilekebishe. Hapo ndipo nchi itaendelea.
Serikali isiyotaka kukosolewa inatia shaka hata kuiunga mkono. mifanao iko mingi tu.
Nani amekataa kuwa sheria inakataza mikutano ya siasa?? Dress like a prospect not like a suspect inawezekana intention yako ikawa nzuri je umewasilisha kwa njia gani?? hapo ndo tatizo linapoanzia kwa nn kama nia yenu ni nzuri why mtangaze operation nchi nzima na sehemu yeyote ukisikia operation ujue ni serious issue je kuna haja gani ya maandamano ambayo ni lazima yazibitiwe vikali kwa sababu hayana vibali kuna ulazima gani wa kusababisha vurugu kati mwananchi na police wakati kuna njia za kufata mnasema mikutano ni haki ya kikatiba na kisheria ni kweli lakini je zinapotafasiliwa hizo sheria ni kwenye operation ukuta au maandamano au mahakamani??
 
Shule ina raha yake nkuu maana hata ujinga wa ****** uwa hausumbuhi kwa kuwa siyo sehemu ya shule!!!!!!
We ulienda shule ipi!!!
Msomi akiongea unachofeel kusikia unakenua meno !!!
Msomi huyo huyo akiongea usichotaka kusikia unamshambulia??
Kuwa na tabia ya kueshimu maoni ya mtu yeyote maana hapa ni jukwaaa huru

Nimekupa mpaka mifano ya wasomi waliotolewa njee ya nchi wakaja wakawa Vila.za baada ya kutumikia watu wanaitumikia ccm
Wengine walitoka Un wakaja kuwa mafisadi !!
Wasomi wetu ni sizitaki mbichi hizi ila akionjeshwa mnofu wa ccm anasahau usomi wake wote anaanza kuitumikia ccm

Uwaoni wakikosoa wakiwa ndani ya mfumo!!!
Professor ninayemweshimu hapa Tanzania ni mmoja tu yule wa mbeya!!
 
Huyo msomi ni mnafiki kaongea mambo yaleyale bila kuleta solution!!
Kama umeshindwa kuelewa kilichoandikwa wewe siyo gt.
Kwa kifupi ameeleza kuwa msimamo wa Lissu ni sahihi na kuwa watawala hawatakiwi kumbughudhi. Unataka solution kwa tatizo lipi?
 
Kama umeshindwa kuelewa kilichoandikwa wewe siyo gt.
Kwa kifupi ameeleza kuwa msimamo wa Lissu ni sahihi na kuwa watawala hawatakiwi kumbughudhi. Unataka solution kwa tatizo lipi?
Maelezo yanaweza kuwa sahihi lakini aliyeyaleta akawa mnafiki !!
Yeye kama ni mzalendo kwanini anashindwa kuja kulisaidia taifa?
Amejificha uko marekani lakini mpaka aitwe kupewa cheo ndipo anakuja kuanza kutuibia
Tulimuana hata yule mama aliyetoka Un
Tumewaona wengi !!
 
Maelezo yanaweza kuwa sahihi lakini aliyeyaleta akawa mnafiki !!
Yeye kama ni mzalendo kwanini anashindwa kuja kulisaidia taifa?
Amejificha uko marekani lakini mpaka aitwe kupewa cheo ndipo anakuja kuanza kutuibia
Tulimuana hata yule mama aliyetoka Un
Tumewaona wengi !!
Hhhhaaa kairuki alikuja na mshahara hakuchukua na bado kafukuzwa mimi mwenye nikiwa professor sikai bongo
 
Hivi kichwa cha habari kimeandikwa au kuhaririwa na "moderators"? Nimeisoma makala yote, ni kweli inahoja nzito zinazoeleweka lakini sijaona hoja za wasomi wanaoikosoawa serikali zaidi ya mtunzi wa makala pekee.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa alishangaa sana kuona katiba ilivyo mpa madaraka makubwa yeye kama Rais kiasi ambacho alisema angeweza kuwa Dicteta.
Tena huyo niondolee hapa alipenda sifa na kuabudiwa eti zidumu fikra!!!katiba inatungwa yupo,inapitishwa yupo pamoja na mapungufu yote hayo ambayo alisema yangemfanya raisi kuwa dicteta bado aliikubali!! ndio utajua unafki wa mwanadamu kimsingi yeye alichangia kwa kiasi kikubwa hali tunayoiona leo,kwani alikuwa na nafasi kubwa kubadilisha.
 
Patamu hapo...kuna uwezekano wa Mh kushindwa kutekeleza malengo yake kwa aina ya siasa zake anazozionyesha zisizoheshimu sheria na katiba.

I'm sorry to say this ila Mh. hana exposure pia ufahamu wa nn maana ya demokrasia na anavyoendesha serikali inatupa viashiria vya taaluma yake ya Ualimu. Hatufiki mbali na mwendo huu wa kishuleshule.

Mtakuja kuniambia maana mwendo huu unaacha malengo na kujihusisha na vitu vya kipuuzi vya kutaka kuabudiwa.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kwanza mm nakataa Tanzania hakuna wasomi bali kuna watu waliospend muda wao madarasani na kutunukiwa vyeti kwani changamoto zinazotukabili toka enzi ya uhuru nchi ilipokuwa na ma doctor wazawa 5 na injinia 1 ni zile zile mpka leo interview zinafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi degree, masters na phd zilivyo nying nchi hii lakini changamoto ni zile zile za toka enzi za uhuru

Pia tunakiwa kujua maana halisi ya dictator kwa vigezo vya udictator magufuli hana ila kinachomfanaya aonekane dictator ni kutaka watanzania waishi kwa kufata mfumo wa sheria hcho tu. Katiba aijakubali maandamano tu ndo maana kukawa na taasisi zinazotoa vibali vya kufanya maandamano kazi hyo walipewa jeshi la police kwani wao ndo wanahusika na ulinzi wa raia na mali zao sasa kama police wameona viashilia vya uvunjifu wa amani katiba inawaruhusu kupiga marufuku maandamano ayo. Leo huwezi kusema maandamano yatakuwa ya amani wakati unatumia maneno ya lazima,hatukubali,aiwezekani,unaanzisha operation zenye majina ya ajabu sehemu yeyote unaposikia kuna operation hujue hapo amani hakuna aiitaji phd kujua ilo hata hospital operation ndio tiba ya mwisho kwa mgonjwa je leo chadema wameshindwa kutumia njia yeyote mpaka watangaze operation ????

Chama kinachojinasibu kuwa na hazina kubwa ya wasomi leo wameshindwa kutumia njia nyingine zaidi ya kutangaza maandamano dunia nzima hata marekani maandamano huwa yanadhibitiwa na police kwani impact ya maandamano ni kusababisha ulemavu ,usumbufu kwa watu huwezi kufungua biashara wakati maandamano yakiwapo shuguli nyingi za kiuchumi lazima zisimame pia chadema inatakiwa kujua ICC wanakwenda c watawala peke yao mpaka wapinzani wanakwenda pia. mfano kenya kenyatta na ruto walikuwa watawala?? kwa nn asiende kibaki???? ICC wanaangalia source ya vurugu zimesababishwa na nani

Zipo njia nyingi za kufanya harakati zao coz mm naamini hawafanyi siasa bali wanafanya harakati tu kama wameshindwa bungeni sehemu pekee wanayoweza kuishinda serikali na ikakubali ni mahakamani pale ndipo wanaweza kupata haki zao zote tena hao waliokataa wasifanye siasa ndio watakuwa wanawalinda katk mikutano yao si wanawanasheria wazuri basi wakapambane mahakamani kama wanaona katiba imevunjwa coz sheria zinatungwa bungeni zinatafasiliwa mahakamani kuliko kuwaletea vijana wa maskini ulemavu kwa kupigwa mabomu na maji ya kuwasha

Nitachangia hilo unalosema Tanzania hakuna wasomi. Hilo siyo kweli. Wasomi wapo tena wengi. Ni kwq bahati mbaya siasa ina nguvu kuliko Usomi. Hawahawa unaowaona hawajasoma ni lulu huko Botswana, Zambia na kwingineko duniani. Wahandisi, Madaktari nk ambao ni Watanzania wanaheshimika sana huko duniani. Wanadeliver.

Hapa nyumbani ipo shida kubwa sana. Mifano yangu ya Prof Tibaijuka, Mzee Omar Nundu walifanya makubwa huko nje. Lakini sote tunajua kilichowakumbuka Tido Mhando, Prof Tibaijuka, Omar Nundu. Kama Taifa ipo shida mahali. Wasomi tena wabobezi wapo na walijijengea heshima kubwa nje ya nchi.

Kwa kadri ya nilivyoelewa, mada hii imechukuliwa kutoka katika andiko au makala ya Professor Mtanzania aliye US, na hadi uaminiwe huko ujue yuko vizuri, je naye siyo msomi?

Hivyo siyo sahihi kusema Tanzania hakuna wasomi, huo ni uongo. Labda useme Pure Scientists kwa level za Newton, Pascal, nk lakini usomi watu wapo na kama professionalism ingekua ni silaha kamili na maslahi yakawa bora,Wasomi wenye weledi ambao ni Watanzania wapo wengi tu.
 
Mimi kama msomi wa Sheria ninakushauri wewe pia na wa TZ wote kwa ujumla sambamba na kudai kuwa Rais wetu ni dicteta hauna budi kabla hujajidhatiti na kauli hiyo uisome vizuri katiba hususani isome na uielewe ibara ya 36 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977,hakika katiba hii kupitia ibara hiyo inampa Rais madaraka makubwa sana ya kufanya chochote kile na ukizingatia kuwa katiba ndio sheria mama na mamlaka yake ni ya juu(siperior authority over any other law applied in Tanzania).Hivyo tatizo si Rais kwani yeye anatumia madaraka ya kikatiba hivyo tatizo kubwa ambalo linatutesa na litaendelea kututesa mda mrefu ni mamlaka ya kikatiba.Hivyo katiba inahitajia mabadiliko ili kupunguza madaraka hayo huku uwe na kumbukumbu kuwa Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa alishangaa sana kuona katiba ilivyo mpa madaraka makubwa yeye kama Rais kiasi ambacho alisema angeweza kuwa Dicteta.
sasa kama katiba imempa madaraka raisi kiasi chakuwa dicteta na raisi anaitumia hiyo katiba kuwa dicteta Lisu wanamkamatia nini?
 
Back
Top Bottom