Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

Mwana muziki wa injili, Bonny Mwaitege alituasa; Angalia Kauli na matendo ya mtu yatakwambia ni mtu wa aina gani, knee jerk reaction ya serikali kwa Lissu inajenga curiosity kwa wananchi kuchambua kama maneno ya Lissu yana mantiki, wanawazindua wananchi kuwa na critical thinking kuhusu mwenendo wa serikali, tuendako wananchi watagangamala kuukataa ukandamizaji wa aina yoyote. Historia inaonyesha kwamba ukandamizaji haukuwahi kuwaogofya wananchi wanaojitambua bali ni kinyume chake, makaburu walishindwa, Gadafi alishindwa, Saddam alishindwa, Mobutu alishindwa, Idd Amin alishindwa na Moi pia alishindwa jirani Kenya, je hapa kwetu kwa nini iwe tofauti?!
 
Umeelewa kwanini nimesema unafiki??
Na kama umeelewa umeelewaje??
Ukijibu hayo maswali nitarudi Mimi uwa sipendi ubishi usio na maana uwe chadema uwe ccm nakwambia ukweli tu
Ukweli is a relative term, unachokiita ukweli chaweza kuwa fictitious! Usipojieleza ukaeleweka ni haki yetu kukutafsiri tupendavyo, eti Unafiki bila qualification, my foot!
 
"Solution" nyinyi mliomchagua Magufuli msiulie maumivu tokeni hadharani mmwambie kuwa hamkuchagua awe dikteta uchwara
Sikia kwanza Mimi nikwambie sijawai mchagua Magufuli !!

Lakini wasomi wetu wamekuwa wanafiki hasa wakiwa uje ya mfumo lakini wakiitwa waingie ndani ya serikali wanakuwa Mbogo Uo sio unafiki??

Wasomi wangapi walikuwa nje walipoludi wakawa mafisadi??

Wangapi waliludi wakaikumbatia ccm na mfumo wake wa kifisadi??

Fatilia posti zangu unajua kwamba Mimi ni MTU huru asiyeyumbishwa na upande wowote wa siasa za Tanzania kazi yangu ni kuusema ukweli japo unauma!!!
 
Technically akili yako haina akili, hujitambui, katika maswala kama haya yanapojadiliwa na watu wenye akili zenye akili kwa maana ya GRAY MATTER, wewe jaribu kufungua kichwa kabla ya kufungua DOMO, Bs
Huyo ni mwepesi kuandika lakini ni mzito kufikiri hivyo hayo mawili hayaendi pamoja
 
Mimi kama msomi wa Sheria ninakushauri wewe pia na wa TZ wote kwa ujumla sambamba na kudai kuwa Rais wetu ni dicteta hauna budi kabla hujajidhatiti na kauli hiyo uisome vizuri katiba hususani isome na uielewe ibara ya 36 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977,hakika katiba hii kupitia ibara hiyo inampa Rais madaraka makubwa sana ya kufanya chochote kile na ukizingatia kuwa katiba ndio sheria mama na mamlaka yake ni ya juu(siperior authority over any other law applied in Tanzania).Hivyo tatizo si Rais kwani yeye anatumia madaraka ya kikatiba hivyo tatizo kubwa ambalo linatutesa na litaendelea kututesa mda mrefu ni mamlaka ya kikatiba.Hivyo katiba inahitajia mabadiliko ili kupunguza madaraka hayo huku uwe na kumbukumbu kuwa Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa alishangaa sana kuona katiba ilivyo mpa madaraka makubwa yeye kama Rais kiasi ambacho alisema angeweza kuwa Dicteta.
Mimi kuna msemo unaitwa uzalendo; huu huwa nauunganisha na elimu ya kutosha juu ya kuielewa vyema nchi yako na kuitumikia kwa uaminifu na uadilifu. Msingi mkubwa wa elimu hii ni katiba.

Dikteta Uchwara haitumii katiba kizalendo ana hulka ya kutamka bila kufikiria wadhifa wake na madhara kwa wananchi. Kaboa nyumba kule bondeni je hapakuwa na utaratibu muafaka. Anatumbua majipu na kuyarudisha kimya kimya ku kugundua makosa yake. Katangaza yeye na CCM ndio waendeshe siasa wengine hadi 2020. Unajiuliza haya madaraka makubwa unayo je busara umeweka mfukoni? NDIYO MADHARA YA ELIMU YETU UZALENDO NI WIMBO WA KASUKU HAUNA MISINGI KUANZIA NGAZI YA JUU KABISA.
 
Huyo ni mwepesi kuandika lakini ni mzito kufikiri hivyo hayo mawili hayaendi pamoja
Acha unafiki nawewe kila siku unapenda kusikia unachokipenda haaaaah!!
Wabongo shida sana lazima mawazo yapishane ndio twende vizuri!!
 
Sikia kwanza Mimi nikwambie sijawai mchagua Magufuli !!

Lakini wasomi wetu wamekuwa wanafiki hasa wakiwa uje ya mfumo lakini wakiitwa waingie ndani ya serikali wanakuwa Mbogo Uo sio unafiki??

Wasomi wangapi walikuwa nje walipoludi wakawa mafisadi??

Wangapi waliludi wakaikumbatia ccm na mfumo wake wa kifisadi??

Fatilia posti zangu unajua kwamba Mimi ni MTU huru asiyeyumbishwa na upande wowote wa siasa za Tanzania kazi yangu ni kuusema ukweli japo unauma!!!
Mkuu vumilia changamoto kama msomi. Magufuli tayari ni rais uwe ulimchagua au hukumchagua; piga moyo konde kuwa ni sehemu ya waliomchagua kulingana na hali halisi.

Mtoa mada anajikita kwenye usahihi wa TL na udikteta uchwara wa Magufuli we are all responsible of the situation and Magufuli knows it.
 
Shikamoo Prof Mbele

Wengine wanasubiri damu imwagike ndiyo waanze kulaumu. Kuna watu wapuuzi sana na wanawaza kujikomba komba na kujipendekeza tu
 
Huyo msomi ni mnafiki kaongea mambo yaleyale bila kuleta solution!!

Una tatizo moja, kwanza unapenda kusikia yale unayoyapenda/yanayokufurahisha tuu, pili kwa kuwa unaposoma threads tayari uko biased with want you want to hear, mara nyingi huwezi kusoma na kuchambua mada husika, hata kama ni fupi tuu kama ya mleta mada hapo juu. Ungekuwa hauko biased ungeshabaini haraka kwamba mlete mada ametoa ushauri kwamba Lissu ajibiwe kwa hoja badala ya kutumia mabavu...
 
kwanza mm nakataa Tanzania hakuna wasomi bali kuna watu waliospend muda wao madarasani na kutunukiwa vyeti kwani changamoto zinazotukabili toka enzi ya uhuru nchi ilipokuwa na ma doctor wazawa 5 na injinia 1 ni zile zile mpka leo interview zinafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi degree, masters na phd zilivyo nying nchi hii lakini changamoto ni zile zile za toka enzi za uhuru

pia tunakiwa kujua maana halisi ya dictator kwa vigezo vya udictator magufuli hana ila kinachomfanaya aonekane dictator ni kutaka watanzania waishi kwa kufata mfumo wa sheria hcho tu katiba aijakubali maandamano tu ndo maana kukawa na taasisi zinazotoa vibali vya kufanya maandamano kazi hyo walipewa jeshi la police kwani wao ndo wanahusika na ulinzi wa raia na mali zao sasa kama police wameona viashilia vya uvunjifu wa amani katiba inawaruhusu kupiga marufuku maandamano ayo leo uwezi kusema maandamano yatakuwa ya amani wakati unatumia maneno ya lazima,hatukubali,aiwezekani,unaanzisha operation zenye majina ya ajabu sehemu yeyote unaposikia kuna operation hujue hapo amani hakuna aiitaji phd kujua ilo hata hospital operation ndio tiba ya mwisho kwa mgonjwa je leo chadema wameshindwa kutumia njia yeyote mpaka watanngaze operation ????

chama kinachojinasibu kuwa na hazina kubwa ya wasomi leo wameshindwa kutumia njia nyingine zaidi ya kutangaza maandamano dunia nzima hata marekani maandamano huwa yanadhibitiwa na police kwani impact ya maandamano ni kusababisha ulemavu ,usumbufu kwa watu uwezi kufungua biashara wakati maandamano yakiwapo shuguli nyingi za kiuchumi lazima zisimame pia chadema inatakiwa kujua ICC wanakwenda c watawala peke yao mpaka wapinzani wanakwenda pia mfano kwenya kenyatta na ruto walikuwa watawala kwa nn asiende kibaki???? ICC wanaangalia source ya vurugu zimesababishwa na nani

zipo njia nyingi za kufanya harakati zao coz mm naamini hawafanyi siasa bali wanafanya harakati tu kama wameshindwa bungeni sehemu pekee wanayoweza kuishinda serikali na ikakubali ni mahakamani pale ndipo wanaweza kupata haki zao zote tena hao waliokataa wasifanye siasa ndio watakuwa wanawalinda katk mikutano yao si wanawanasheria wazuri basi wakapambane mahakamani kama wanaona katiba imevunjwa coz sheria zinatungwa bungeni zinatafasiliwa mahakamani kuliko kuwaletea vijana wa maskini ulemavu kwa kupigwa mabomu na maji ya kuwasha
Inawezekana wewe ndio uliyeuzuria tu darasani harafu ukapewa tu cheti.
Sheria za vyama vya siasa ziko wazi na zinaeleweka. Na link umewekewa hapo juu.
Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inasema wazi wala haifichi juu ya mikutano ya kisiasa.
Wewe bado tu unapinga? Aaaah tafazari ndugu! Unahisi watu hawajui kusoma wala kuandika nini?
Serikali yoyote ya nchi yoyote ili iendelee inahitaji wapinzani wenye nguvu wanaoikosoa serikali ili ijitambua na ijilekebishe. Hapo ndipo nchi itaendelea.
Serikali isiyotaka kukosolewa inatia shaka hata kuiunga mkono. mifanao iko mingi tu.
 
kwanza mm nakataa Tanzania hakuna wasomi bali kuna watu waliospend muda wao madarasani na kutunukiwa vyeti kwani changamoto zinazotukabili toka enzi ya uhuru nchi ilipokuwa na ma doctor wazawa 5 na injinia 1 ni zile zile mpka leo interview zinafanyika uwanja wa taifa kwa jinsi degree, masters na phd zilivyo nying nchi hii lakini changamoto ni zile zile za toka enzi za uhuru

pia tunakiwa kujua maana halisi ya dictator kwa vigezo vya udictator magufuli hana ila kinachomfanaya aonekane dictator ni kutaka watanzania waishi kwa kufata mfumo wa sheria hcho tu katiba aijakubali maandamano tu ndo maana kukawa na taasisi zinazotoa vibali vya kufanya maandamano kazi hyo walipewa jeshi la police kwani wao ndo wanahusika na ulinzi wa raia na mali zao sasa kama police wameona viashilia vya uvunjifu wa amani katiba inawaruhusu kupiga marufuku maandamano ayo leo uwezi kusema maandamano yatakuwa ya amani wakati unatumia maneno ya lazima,hatukubali,aiwezekani,unaanzisha operation zenye majina ya ajabu sehemu yeyote unaposikia kuna operation hujue hapo amani hakuna aiitaji phd kujua ilo hata hospital operation ndio tiba ya mwisho kwa mgonjwa je leo chadema wameshindwa kutumia njia yeyote mpaka watanngaze operation ????

chama kinachojinasibu kuwa na hazina kubwa ya wasomi leo wameshindwa kutumia njia nyingine zaidi ya kutangaza maandamano dunia nzima hata marekani maandamano huwa yanadhibitiwa na police kwani impact ya maandamano ni kusababisha ulemavu ,usumbufu kwa watu uwezi kufungua biashara wakati maandamano yakiwapo shuguli nyingi za kiuchumi lazima zisimame pia chadema inatakiwa kujua ICC wanakwenda c watawala peke yao mpaka wapinzani wanakwenda pia mfano kwenya kenyatta na ruto walikuwa watawala kwa nn asiende kibaki???? ICC wanaangalia source ya vurugu zimesababishwa na nani

zipo njia nyingi za kufanya harakati zao coz mm naamini hawafanyi siasa bali wanafanya harakati tu kama wameshindwa bungeni sehemu pekee wanayoweza kuishinda serikali na ikakubali ni mahakamani pale ndipo wanaweza kupata haki zao zote tena hao waliokataa wasifanye siasa ndio watakuwa wanawalinda katk mikutano yao si wanawanasheria wazuri basi wakapambane mahakamani kama wanaona katiba imevunjwa coz sheria zinatungwa bungeni zinatafasiliwa mahakamani kuliko kuwaletea vijana wa maskini ulemavu kwa kupigwa mabomu na maji ya kuwasha
Ulivyo na akili kidogo hujui kuwa majaji wote wa mahakama kuu wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM
 
Halafu huko Marekani vyama vya siasa vinafanya maandamano na mikutano ya hadhara kuikashifu serikali baada ya uchaguzi? Mbele amefilisika sana.

Mkuu badala ya kumjadili Prof Mbele kwa nini tusijadili alichoandika? Je hilo zuio lipo kikatiba au ndani ya sheria nyingine tulizonazo? Kila Rais tunayemchagua anaapishwa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi yetu hivyo tujiridhishe kwanza kwamba hajavunja katiba?
 
Huyo msomi ni mnafiki kaongea mambo yaleyale bila kuleta solution!!
Soma vizuri maoni ya Prof. Mbele. Solution ni nguvu ya hoja ijibiwe kwa nguvu ya hoja.

Siyo kama ilivyo sasa serikali kutumia nguvu ya dola vibaya kukandamiza hoja zilizotolewa kuwa kuna "udikteta uchwara" .

Serikali ya CCM ingeweza kutumia pesa za vyombo za dola kutafuta watu makinI kujibu hoja na Siyo kutumia polisI vibaya au kutumia ofisi za mwanasheria wa serikali visivyo kiasi zina aibika vibaya au kutaka "kuzijaribu" mahakama kwa kupeleka kesi zisizokuwa na uzito kisheria.
 
Mnaosema kavunja katiba nendeni mkafungue kesi ya kikatiba. Yaani lichama likubwa kama CHADEMA mnashindwa na mtu mmoja kama Mtikila ambaye alikuwa haleti siasa uchwara. Yeye alikuwa anaenda kufungua kesi za kikatiba ili kuprove point yake.

Mengine alishasema Mkapa kuhusu Upumbavu na Ulofa. Naona ndo kinachoendelea hapa.
Mfano ni kama huyo juu aliyesema "Majaji wanateuliwa na Mwenyekiti wa CCM."

Huyo ni mtu anayeandika kwa hisia badala ya tafakuri. Ni mtu ambaye hajui ni kesi ngapi CHADEMA imeshinda kwenye mahakama hizo hizo ambazo zinateuliwa na "Mwenyekiti wa CCM."

Na pia ni mtu ambaye hajui kuwa "Mwenyekiti wa CCM" wa sasa hivi ndiye Rais wa Tanzania pia.
 
Back
Top Bottom