MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,925
- 6,850
Mwana muziki wa injili, Bonny Mwaitege alituasa; Angalia Kauli na matendo ya mtu yatakwambia ni mtu wa aina gani, knee jerk reaction ya serikali kwa Lissu inajenga curiosity kwa wananchi kuchambua kama maneno ya Lissu yana mantiki, wanawazindua wananchi kuwa na critical thinking kuhusu mwenendo wa serikali, tuendako wananchi watagangamala kuukataa ukandamizaji wa aina yoyote. Historia inaonyesha kwamba ukandamizaji haukuwahi kuwaogofya wananchi wanaojitambua bali ni kinyume chake, makaburu walishindwa, Gadafi alishindwa, Saddam alishindwa, Mobutu alishindwa, Idd Amin alishindwa na Moi pia alishindwa jirani Kenya, je hapa kwetu kwa nini iwe tofauti?!