Obuma
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,727
- 5,094
Heeeeee! Maprof wa kibongo walioko US wanaendesha tax huko? Basi walioko nchini watakuwa wanaendesha Boda Boda!No wonder maprof wa tanzania wanaendesha tax huko marekani.yani huyu aliyetoa haya maoni nae ni prof kweli?