Wasomi wampigia Saluti MAGUFULI!

Wasomi wampigia Saluti MAGUFULI!

Kinjekitile junior

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
4,404
Reaction score
581
Katika hali ya kuonyesha kuwa CCM imekomaa katika kufanya maamuzi, wamepongeza uteuzi wa Magufuli na kusema UKAWA wakae mguu sawa nao walete mgombea wao wasikalie kuvutana!miongoni mwa wasomi hao Ni Dr.Ayub Rioba, Prof.Mwesiga Baregu na Dr.Onesmo Kiauke!

Chanzo ITV
 
Hata mie nimewasikia. Hasa huyo Kiauke katema cheche ile mbaya. Sijampenda tu Baregu pale aliposema kuwa Urais si kukariri namba
 
Kwenye Urais uwanja ushaegemea upande mmoja
 
Back
Top Bottom