Wasomi wa Physics naomba majibu

Wasomi wa Physics naomba majibu

Mkuu, hapa anazungumzia taa, na amini itakua ya kawaida inayotumia single phase. Voltage hapa tuna zungumzia 230v. Sioni possibility ya ku form capacitor au inductor kwa hiyo voltage kidogo. Ingekua 11 kv,33kv ingekua sawa.kwa kesi ya hii hakutakua na umeme utaotumika. No load.for current to flow there must be a load. Na kwa kesi hiyo load ni taa.hakuna taa hakuna umeme

Kwa bahati mbaya umeme utakwenda hata kama bulb haipo; najua watu wengi hawataamini jibu hili ila ndivyo ilivyo. Umeme tunaotumia majumbani na viwandani duniani kote ni wa aina ya AC, ambayo kwa Tanzania inakuwa na frequency yenye mizunguko hamsini kwa sekunde; umeme huu hupita mahali popte iwapo utaweka mradi tu uwe na nyaye mbili kwa karibu zinazokamilisha mzunguko hata kama hazikuuungana, yaani bulb haipo. Nyaya hizo hufanya kitu kiachoitwa capacitance ambayo hukamilisha circuit ya AC. Uzuri ni kuwa umeme huo huenda kwa kasi ndogo ambayo haitaweza kuathiri sana bili yako ya mwezi, ila ukiuacha kwa muda mrefu sana kama mwaka mzima utakuta bili nayo imepanda kwa kiasi fulani.
 
Kichuguu!

Nakukatalia, umeme hauendi hapo(hautumiki) kwamaana hiyo siyo complete circuit. Workload hamna hapo, kwahiyo hakuna movement yeyote ya curtent. Ni open circuit hiyo hata kama ni AC . Work is done when a force produce motion. Hakuna load, hakuna motion hapo.
 
Swali langu ni dogo tu kwa mfano umewasha switch ya taa halafu bulb halipo jee umeme unakwenda?.

Umeme hautoenda mkuu.Maana ili umeme uende inabidi uwe converted to a new form.Incase ya light bulb, energy conversion ni kutoka electricity kwenda light

kifupi hauendi au kwa lugha nzuri hautumiki. Ili umeme uende mpaka mwisho wa safari yake ni lazima uuone ukibadilika toka electricity kuwa energy mfano,light energy,sound energy,au energy zitumikazo kuzungusha mota za mashine.

Kama hauendi kama mlivyosema, jaribuni mtoe bulb, weka switch on then weka vidole pale ulipotoa bulb utajua vizuri kama unaenda au la, msisahau kuleta majibu
 
Kama hauendi kama mlivyosema, jaribuni mtoe bulb, weka switch on then weka vidole pale ulipotoa bulb utajua vizuri kama unaenda au la, msisahau kuleta majibu

Sasa ukiweka kidole, kidole ndio load then umeme uta flow kwa mwili jombaa.load sio lazima iwe taa,
 
Kichuguu!

Nakukatalia, umeme hauendi hapo(hautumiki) kwamaana hiyo siyo complete circuit. Workload hamna hapo, kwahiyo hakuna movement yeyote ya curtent. Ni open circuit hiyo hata kama ni AC . Work is done when a force produce motion. Hakuna load, hakuna motion hapo.

Nilitegemea response ya namna hii; je, hujui kuwa capacitor nayo ni open circuit kwa DC lakini ni reactive load kwenye AC?
 
Mkuu, hapa anazungumzia taa, na amini itakua ya kawaida inayotumia single phase. Voltage hapa tuna zungumzia 230v. Sioni possibility ya ku form capacitor au inductor kwa hiyo voltage kidogo. Ingekua 11 kv,33kv ingekua sawa.kwa kesi ya hii hakutakua na umeme utaotumika. No load.for current to flow there must be a load. Na kwa kesi hiyo load ni taa.hakuna taa hakuna umeme

Kama unajua kuwa capacitor ni conductor mbili zilizokuwa separated na insulator, na ni reactive load kwenye AC yoyote, sijui kwa nini usijue kuwa ile cable ya PVC inayopeleka umeme kwenye taa pia ina conductor mbili - LIVE na NEUTRAL, na ile insulation iliyopo baina ya conductors hizo inaiwezesha structure hiyo kuwa capacitor.

Swali lilikuwa ni je umeme utaflow, jibu ni ndiyo. Swali halikuuliza kiwango cha umeme utakaoflow, nimesema kuwa ni kiwango kidogo sana, lakini kitaflow.
 
Ni kweli, hakuna District Commissioner(DC) anaweza kukaa kwenye ofisi isiyo na Air Condition (AC), fiziksi rahisi sana, ndo mlisoma haya?Just normal common sense.

Nilitegemea response ya namna hii; je, hujui kuwa capacitor nayo ni open circuit kwa DC lakini ni reactive load kwenye AC?
 
Kama hauendi kama mlivyosema, jaribuni mtoe bulb, weka switch on then weka vidole pale ulipotoa bulb utajua vizuri kama unaenda au la, msisahau kuleta majibu
Yaani chochote utakachokiweka na kikasababisha current kutoka Live ikampata Neutral lazima umeme utatembea
Hivyo km hutakufa utarushwa,
lkn ukigusa waya wowote kwa kitu chochote kinachopitisha umeme kati ya hizo bila ya kuunganisha mkondo wake (+ve na -ve) umeme hautatembea na Mita haitasoma.Ni mpaka umeunganisha hizo ncha 2
 
Kinachodondoka ni maji tu?


Haya wee Mkenya tupe basi jibu.
Sio maji tu, bali pia kuna maembe, matunda yote, mawe, vimiminika vya aina vyote na vitu vingi vinavyodondoka, lakini we ulishawahi kudondokea na chaji za umeme, au ulishawahi kudondokewa na umeme?
 
Kama hauendi kama mlivyosema, jaribuni mtoe bulb, weka switch on then weka vidole pale ulipotoa bulb utajua vizuri kama unaenda au la, msisahau kuleta majibu

Ukiweka kidole hiyo sio open circuit badala yake utaflow through your body ndo maana unapata shock but no consumption of electricity!
 
Hivi radi huwa haidondoki?taka nidondokewe na umeme nife? Hunipendi kumbe!

Sio maji tu, bali pia kuna maembe, matunda yote, mawe, vimiminika vya aina vyote na vitu vingi vinavyodondoka, lakini we ulishawahi kudondokea na chaji za umeme, au ulishawahi kudondokewa na umeme?
 
Hivi radi huwa haidondoki?taka nidondokewe na umeme nife? Hunipendi kumbe!
wewe ni MWEHU, hivi umeme kwenye holder ya bulb kama hakuna holder, ukiwasha switch huwa unadondoka chini? na kuchafua floor? na huwa unaukasha na Tambara la deki?
 
Mkuu wa chuo, umenifanyia fitna hadi nimeshindwa kukopi post yako, lakini rejea post yako ya awali, ulishangaa kama umeme huwa unadondoka. Jibu ndio umeme unadondoka na kukausha miti
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo, umenifanyia fitna hadi nimeshindwa kukopi post yako, lakini rejea post yako ya awali, ulishangaa kama umeme huwa unadondoka. Jibu ndio umeme unadondoka na kukausha miti
hahahahahahahahah, waya yenye umeme ndio hua inadondoka ila umeme hauwezi kudondoka bila ya waya ya umeme kudondoka, kwa maana hiyo kama umeme unadondoka basi pia unaweza kuukinga kwenye ndoo ukauweka kwa matumizi ya baadae...
 
Kwa bahati mbaya umeme utakwenda hata kama bulb haipo; najua watu wengi hawataamini jibu hili ila ndivyo ilivyo. Umeme tunaotumia majumbani na viwandani duniani kote ni wa aina ya AC, ambayo kwa Tanzania inakuwa na frequency yenye mizunguko hamsini kwa sekunde; umeme huu hupita mahali popte iwapo utaweka mradi tu uwe na nyaye mbili kwa karibu zinazokamilisha mzunguko hata kama hazikuuungana, yaani bulb haipo. Nyaya hizo hufanya kitu kiachoitwa capacitance ambayo hukamilisha circuit ya AC. Uzuri ni kuwa umeme huo huenda kwa kasi ndogo ambayo haitaweza kuathiri sana bili yako ya mwezi, ila ukiuacha kwa muda mrefu sana kama mwaka mzima utakuta bili nayo imepanda kwa kiasi fulani.


Asante Mwalimu.
 
Anyway, umenishinda kwa ujanja ujanja na msaada wa mod, nitarudi maana sijakubali.

hahahahahahahahah, waya yenye umeme ndio hua inadondoka ila umeme hauwezi kudondoka bila ya waya ya umeme kudondoka, kwa maana hiyo kama umeme unadondoka basi pia unaweza kuukinga kwenye ndoo ukauweka kwa matumizi ya baadae...
 
Back
Top Bottom