Katika mfumo wa umeme kuna mambo 4.
1. Chanzo cha umeme.mf generator kwa umeme wa Ac na solar cell au battery kwa upande wa DC.
2. Njia ya kusafirishia umeme yaani nyaya.
3. Chombo kinachotumia umeme (load).
4. vyombo vya kudhibiti mfumo wa umeme mfano switch, circuit breaker n.k.
Ili mfumo ufanye kazi lazima umeme utoke kwenye chanzo na urudi tena. Kwahiyo namba 1, 2 na 3 ni lazima kwa mfumo kufanya kazi. Namba 4 ni kutoa uhuru kwa mtumiaji kudhibiti huo mfumo na kuhakikisha usalama wa mfumo.
Nikirudi kwenye swali bila switch ina maana umeme haurudi kwenye chanzo. Unaweza tu pale switch iko on na si vinginevyo. Kwa maans hiyo umeme hauendi.
1. Chanzo cha umeme.mf generator kwa umeme wa Ac na solar cell au battery kwa upande wa DC.
2. Njia ya kusafirishia umeme yaani nyaya.
3. Chombo kinachotumia umeme (load).
4. vyombo vya kudhibiti mfumo wa umeme mfano switch, circuit breaker n.k.
Ili mfumo ufanye kazi lazima umeme utoke kwenye chanzo na urudi tena. Kwahiyo namba 1, 2 na 3 ni lazima kwa mfumo kufanya kazi. Namba 4 ni kutoa uhuru kwa mtumiaji kudhibiti huo mfumo na kuhakikisha usalama wa mfumo.
Nikirudi kwenye swali bila switch ina maana umeme haurudi kwenye chanzo. Unaweza tu pale switch iko on na si vinginevyo. Kwa maans hiyo umeme hauendi.