BLACK_WIDOW
Senior Member
- Nov 17, 2018
- 133
- 318
Ni wazi watu waliosoma Sayansi wamekuwa na dharau kupindukia kwa watu waliosoma masomo ya sanaa, mara nyingi hujiona wao ndo babkubwa na ndo wasomi sana
Ila ukiangalia nature ya hizo kada mbili, utagundua watu waliosoma ARTS ndio hodari sana na kutegemewa katika kutatua mambo mbalimbali yanayohitaji kutatuliwa kisomi zaid
Chunguza katika midahalo mikubwa, mara nyingi utakuta washiriki wakuu ni watu wa kada ya sanaa, hata katika uongozi
*WATU WA KADA YA SAYANSI* wao hubaki kuwa wataalamu ambao hukosa flexibility, yaani upeo wao wa utatuzi wa mambo mara nyingi hauvuki nje ya taaluma zao, mfano ma MD's, ma-Engineers.
NB: Nyie watu wasayansi ni wataalamu tu, usomi wanao watu wa Arts
Ila ukiangalia nature ya hizo kada mbili, utagundua watu waliosoma ARTS ndio hodari sana na kutegemewa katika kutatua mambo mbalimbali yanayohitaji kutatuliwa kisomi zaid
Chunguza katika midahalo mikubwa, mara nyingi utakuta washiriki wakuu ni watu wa kada ya sanaa, hata katika uongozi
*WATU WA KADA YA SAYANSI* wao hubaki kuwa wataalamu ambao hukosa flexibility, yaani upeo wao wa utatuzi wa mambo mara nyingi hauvuki nje ya taaluma zao, mfano ma MD's, ma-Engineers.
NB: Nyie watu wasayansi ni wataalamu tu, usomi wanao watu wa Arts