Wasomi na kiingereza

Hoja yako ina mashiko kwa Tanzania tu! Mbona wenzetu Wakenya na Waganda wote wanajua hiyo sjui Tech na Fluent English? Tukubali elimu yetu ina shida.
Wao ni mother tongue language, wanatumia hiyo lugha kila mahali. Wakirudi nyumbani na wakiwa mtaani ndio lugha yao ya mawasiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…