Maprofesa wetu wa vyuo vikuu fungukeni sasa kuhusu rasimu ya katiba mpya.kazi ndio inaanza.huwa mnakaa kimya sana kuhusu mambo muhimu yanayotokea nchini.ni woga au ni nini?mnajua kuwa tunawategemea nyie kutoa dira kwa taifa letu?
Wasomi wetu wa vyuo vikuu fungukeni kuhusu rasimu ya katiba mpya,huwa mnakaa kimya juu ya mambo muhimu yanayotokea nchini.hivi mnajua kuwa tunawategemea nyie kutoa dira ya nchi yetu ?
Wasomi wetu wa vyuo vikuu fungukeni kuhusu rasimu ya katiba mpya,huwa mnakaa kimya juu ya mambo muhimu yanayotokea nchini.hivi mnajua kuwa tunawategemea nyie kutoa dira ya nchi yetu ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.